Johnny Sack
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 8,834
- 18,837
Kombe la Shirikisho ambalo ni shindano pendwa la Yanga limefutwa?
Maana sisikii tena likizungumziwa hata wachambuzi wala mashabiki
Vip hili kombe limefutwa au ndio kuwa halina mvuto kabisa hadi limesahaulika na kila mtu?
Maana sisikii tena likizungumziwa hata wachambuzi wala mashabiki
Vip hili kombe limefutwa au ndio kuwa halina mvuto kabisa hadi limesahaulika na kila mtu?