IrDA
JF-Expert Member
- Aug 26, 2010
- 743
- 350
Shirika la Utangazaji nchini TBC imerejea katika maonyesho ya soka na kwa kuanzia wataanza na Challenge Tusker Cup inayoanza kutimua vumbi hapo kesho katika uwanja wa Taifa.
Kwa mujibu wa taarifa zilizonaswa na matandao wa Aboodmsuni katika kundi la KANDANDA ndani ya Facebook, ambapo moja ya watu wa TBC Chacha Maginga ameweka posti inayosema, "HABARI WANASPOTI WOTE KAMA KAWAIDA TBC ITAKUWA NANYI KUWAPA RAHA KEDEKEDE KUANZIA KESHO KATIKA MATANGAZO YA CHALLENGE CUP TV NA RADIO LIVE SIKU ZOTE TBC IKO MBELE KUWAJALI WATANZANIA KIOO CHA JAMII KARIBUNI."
Baada ya Kocha Marcio Maximo kuikacha timu ya Taifa ya Tanzania, ndio ikawa mwisho wa TBC kurusha matangazo ya Soka la Bongo kwenye luninga, hapo mwezi julai mwaka jana.
​ original post by http://aboodmsuni.blogspot.com
Kwa mujibu wa taarifa zilizonaswa na matandao wa Aboodmsuni katika kundi la KANDANDA ndani ya Facebook, ambapo moja ya watu wa TBC Chacha Maginga ameweka posti inayosema, "HABARI WANASPOTI WOTE KAMA KAWAIDA TBC ITAKUWA NANYI KUWAPA RAHA KEDEKEDE KUANZIA KESHO KATIKA MATANGAZO YA CHALLENGE CUP TV NA RADIO LIVE SIKU ZOTE TBC IKO MBELE KUWAJALI WATANZANIA KIOO CHA JAMII KARIBUNI."
Baada ya Kocha Marcio Maximo kuikacha timu ya Taifa ya Tanzania, ndio ikawa mwisho wa TBC kurusha matangazo ya Soka la Bongo kwenye luninga, hapo mwezi julai mwaka jana.
​ original post by http://aboodmsuni.blogspot.com