Kilakshari
JF-Expert Member
- Dec 13, 2008
- 350
- 20
- Thread starter
- #21
Halftime 3-0. Nadhani tatizo ni wachezaji wetu walishafungwa kabla hata awajaingia uwanjani. Kukosa ujasiri ni kosa kubwa sana. Inabidi wajiamini. Wao ni mabingwa wa afrika Mashariki na kati. Wangeingia uwanjani na kujiamini wasingefungwa kiasi hiuki cha mabao. Sawa, Misri wako juu kisoka, lakini siamini kuwa wako juu kiasi cha kuipa Stars kipigo cha mbwa mwizi. Anyways, tusubiri kipindi cha pili labda watakuja na uhai zaidi.