Nyamgluu JF-Expert Member Joined Mar 10, 2006 Posts 3,160 Reaction score 1,727 Aug 3, 2011 #101 Hajui kua chupi yake akimpa mtoto mdogo itakua shuka! samahan ila wanaudhi.
moblaze JF-Expert Member Joined Nov 22, 2010 Posts 231 Reaction score 27 Aug 3, 2011 #102 hiyo ni track mpya itaimbwa Igunga! komba hana jipya mwache alale..
A allanj Member Joined Aug 2, 2011 Posts 22 Reaction score 1 Aug 3, 2011 #103 Jamani komba ni mnyama anayekuwa active usiku, tusimshangae sana huyo alieko bungeni alikuwa anaota tu.Ndio muda wake wa kulala aliyemuamsha ndio kakosea.
Jamani komba ni mnyama anayekuwa active usiku, tusimshangae sana huyo alieko bungeni alikuwa anaota tu.Ndio muda wake wa kulala aliyemuamsha ndio kakosea.
Fidel80 JF-Expert Member Joined May 3, 2008 Posts 21,945 Reaction score 4,499 Aug 3, 2011 #104 Wa magamba ndo point zao sijui wabunge type ya komba kwa nn wapo bungeni ni misifa kwa wanamagamba wana idadi kubwa ya wabunge lakini wamejaa pumba tu
Wa magamba ndo point zao sijui wabunge type ya komba kwa nn wapo bungeni ni misifa kwa wanamagamba wana idadi kubwa ya wabunge lakini wamejaa pumba tu
Son of Africa JF-Expert Member Joined Jan 16, 2011 Posts 233 Reaction score 32 Aug 3, 2011 #105 Hivi Komba ni jina binadamu(human being) au la mnyama? Haya wazee wa ndezi kazi kwenu
Ng'wanangwa JF-Expert Member Joined Aug 28, 2010 Posts 10,827 Reaction score 4,183 Aug 4, 2011 #106 CAMARADERIE said: Kwani komba huyu (mnyama) kwa kiingereza anaitwaje? Click to expand... bushbaby
First Born JF-Expert Member Joined Jul 11, 2011 Posts 5,317 Reaction score 1,484 Aug 4, 2011 #107 CAMARADERIE said: Kwani keshaamka? Click to expand... hapo kafunga tu macho,, ksikiliza yuko makini sana tu
CAMARADERIE said: Kwani keshaamka? Click to expand... hapo kafunga tu macho,, ksikiliza yuko makini sana tu