mbezibeach 2
Senior Member
- Jun 28, 2011
- 166
- 50
kuna mmoja wao alilkuwa anaitwa Tostao,clasmate mabibo p/s!jamaa alikuwa na roho mbaya sana,lakini aliuawa kama sikosei!walipiga sana watu bisibisi za kwapa bonde la mchicha mabibo,lol
Umenikumbusha yule dogo Tostao...Alisilimisha sana watu ktk Bonde la mchicha na ule uwanja wa sahara....Unawakumbuka Mwinshehe na Chande licha ya kuwa wanasoka wazuri pia walikuwa ktk Group hili?