Kati ya hawa ni makamando wa kike; Major Philippa Joan Angel Tattersall Royal Marines Commando, Dr. Seema Rao is India's first woman commando trainer, having trained Indian Special forces for 18 years without compensation
Tukiwa tunajiandaa kuangalia maonyesho mbalimbali ya majeshi yetu na mbwembwe na ukakamavu wa makomando wetu ktk sherehe za Muungano unapotimiza miaka 50 mwaka huu.
Hivi huko jeshini wapo Makomando wa kike wanaoruka na kuvunja matofali kama wale wakiume?
Sijui nimekalili vibaya, hivi hawa warembo hawakuwa makomando kweli? Maana mwenzenu nimemezeshwa kuwa kila mjeda anayevaa kofia nyekundu ni komandoo sijui ni kweli?
Sijui nimekalili vibaya, hivi hawa warembo hawakuwa makomando kweli? Maana mwenzenu nimemezeshwa kuwa kila mjeda anayevaa kofia nyekundu ni komandoo sijui ni kweli?
hayo ni mafunzo ya awali jeshini so kila mwanajeshi anapitia. nakumbuka nilipokuwa nafika siku ya kwanza nilitamani sana kuwa comandoo ila baada ya kuhitimu na kuanza mafunzo nilifeli mwezi wa pili wa mafunzo na kupata hitirafu kwny mguu wa kushoto. hakuna komandoo wa kike(taarifa toka vyuo vya kijeshi mwaka 2013) lkn cjui jana na juzi wenda wamepatikana wanajamii. Luteni usu Edward
hayo ni mafunzo ya awali jeshini so kila mwanajeshi anapitia. nakumbuka nilipokuwa nafika siku ya kwanza nilitamani sana kuwa comandoo ila baada ya kuhitimu na kuanza mafunzo nilifeli mwezi wa pili wa mafunzo na kupata hitirafu kwny mguu wa kushoto. hakuna komandoo wa kike(taarifa toka vyuo vya kijeshi mwaka 2013) lkn cjui jana na juzi wenda wamepatikana wanajamii. Luteni usu Edward
Tukiwa tunajiandaa kuangalia maonyesho mbalimbali ya majeshi yetu na mbwembwe na ukakamavu wa makomando wetu ktk sherehe za Muungano unapotimiza miaka 50 mwaka huu.
Hivi huko jeshini wapo Makomando wa kike wanaoruka na kuvunja matofali kama wale wakiume?