Komando wa kike Jeshini

Kati ya hawa ni makamando wa kike; Major Philippa Joan Angel Tattersall Royal Marines Commando, Dr. Seema Rao is India's first woman commando trainer, having trained Indian Special forces for 18 years without compensation
..hakuna komando wa kike jwtz na hata nchi nyingine.labda half komando na sio jeshi la tz.niamini mimi zingine porojo.
 

 
Sijui nimekalili vibaya, hivi hawa warembo hawakuwa makomando kweli? Maana mwenzenu nimemezeshwa kuwa kila mjeda anayevaa kofia nyekundu ni komandoo sijui ni kweli?


 
Sijui nimekalili vibaya, hivi hawa warembo hawakuwa makomando kweli? Maana mwenzenu nimemezeshwa kuwa kila mjeda anayevaa kofia nyekundu ni komandoo sijui ni kweli?



Kwahapa Tanzania wanaovaa red beret ni Military Police(MP).
Comandoo wa Tz wanavaa Marun beret(damu ya mzee).
 
Kesho usiwe mbali huenda wakawepo makomando wa kike.
 
hayo ni mafunzo ya awali jeshini so kila mwanajeshi anapitia. nakumbuka nilipokuwa nafika siku ya kwanza nilitamani sana kuwa comandoo ila baada ya kuhitimu na kuanza mafunzo nilifeli mwezi wa pili wa mafunzo na kupata hitirafu kwny mguu wa kushoto. hakuna komandoo wa kike(taarifa toka vyuo vya kijeshi mwaka 2013) lkn cjui jana na juzi wenda wamepatikana wanajamii. Luteni usu Edward
 
hayo ni mafunzo ya awali jeshini so kila mwanajeshi anapitia. nakumbuka nilipokuwa nafika siku ya kwanza nilitamani sana kuwa comandoo ila baada ya kuhitimu na kuanza mafunzo nilifeli mwezi wa pili wa mafunzo na kupata hitirafu kwny mguu wa kushoto. hakuna komandoo wa kike(taarifa toka vyuo vya kijeshi mwaka 2013) lkn cjui jana na juzi wenda wamepatikana wanajamii. Luteni usu Edward
 

Angalia vizuri kofia zao mkuu. nataka kukwambia tu kuwa kofia za makomandoo sio nyekundu kama ma MP(Military Police)
 

Mimi niwauliza live bila chenga kwenye maonesho ya 7,7 mwaka jana walisema hakuna komando wa kike hii ni kutokana na maumbile yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…