"kojoa dear"

"kojoa dear"

Ingekua ni kufanya kazi kwa bidii na utu ungeambiwa siasa, hapa mwenzetu anasema matusi anaambiwa anaboa. Mada gani hii inafaida gani kwangu na kwako?
 
Wananikera sana wanaojifanya watetezi wa haki za watoto. Haki ya mtoto hapa iko wapi??............... akikojoa kitandani

anachapwa, ila mtu mzima akitaka kukojoa, anapigwa mabusu motomoto, Mwaaaa swty, mwaaaaaa honey, mwaaaaa darling!!!!!
"kojoa dear"

Anakumbatiwa na kuambiwa mmh!!

TAFAKARI, ZINGATIA NA CHUKUA HATUA

"HAKI WATOTO"

Sipati picha kama dogo anawasikia mnaambiana hivyo, alafu akikijoa yeye kosovo inaamia kwake, lazima aandamane.
 
Hiyo imetulia.

Patamu zaidi dogo asikie mnaambiana hivyo, wakati akikojoa yeye ni varangati zito. lazima aandamane.
 
Sasa mpaka uambiwe kojoa ujue unamchosha tu mtoto wa watu ndio maana unaombwa hisani ya kujimalizia faster....Raha ya mikojo ya watu wazima ni mkojoe wote kwa pamoja na hata mkipishana isizidi dakika moja utaboa ndugu.....na kuhusu watoto nafikiri unapoint katika hilo sidhani kama ni busara kumrudi mtoto hovyo japo naamini hakuna dhambi katika hilo ila ni vyema kama utamfundisha kukwepa hiyo khali ya kujikojolea kwa kujitolea kumuasha mara kwa mara mpaka tatizo litakapo koma kabisa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom