Mamaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 4,846
- 3,828
Ile utatumia booster gan mkuu kuijaza moto hiyo mashine,hyu alisumbua sanaa ila nowdsys wapo wakubwa wake kma 3020 hyu anatema 1800rms watts na ni nchi 15
Ile utatumia booster gan mkuu kuijaza moto hiyo mashine,hyu alisumbua sanaa ila nowdsys wapo wakubwa wake kma 3020 hyu anatema 1800rms watts na ni nchi 15
Kenya sehemu zipi?Kibongobongo hela ya kununua subs za maana hamna ,na za mtumba hazipatikani, tofauti na wenzetu hapo kenya. Vitu kama klipsch, bose, jbl,bose, jamo huvipati
nitampa wicalu amalize kazi nikishaipataIle utatumia booster gan mkuu kuijaza moto hiyo mashine,
Hapo nairobi zinauzwa bei ya kawaida tu, wakenya wameilewa zaidi 3003d4,arusha pia bei sio mbaya, ni tofauti na yule jamaa wa sinza bob anauza gali sana. Jamaa wa arusha 0767 635 079nitampa wicalu amalize kazi nikishaipata
Wicalu au sita electronics hao wanaweza ipa amp ya maananitampa wicalu amalize kazi nikishaipata
Zipo, ingia hapo amazon utazikuta kibao,ila bongo hupati, sisi wa tz tuko buzy na seapianoWataalamu hivi Bose wana Soundbars
Sina uzoefu wa kuagiza vitu kupitia AmazonZipo, ingia hapo amazon utazikuta kibao,ila bongo hupati, sisi wa tz tuko buzy na seapiano
kenya now days wamehamia kwa mrussia ni mwendo wa DEAF BOUNCE(ALPHARD GROUP) ni hatari vinu vyao wana sub za hadi 4000 rms wattsHapo nairobi zinauzwa bei ya kawaida tu, wakenya wameilewa zaidi 3003d4,arusha pia bei sio mbaya, ni tofauti na yule jamaa wa sinza bob anauza gali sana. Jamaa wa arusha 0767 635 079
Hiyo deaf sijawahi iona ,nimeziona Cliff Design, wanasema ni nzuri sanakenya now days wamehamia kwa mrussia ni mwendo wa DEAF BOUNCE(ALPHARD GROUP) ni hatari vinu vyao wana sub za hadi 4000 rms watts
Bro hujui ninachokipenda bas tu kila mtu na ladha yake ya mziki butSound inaweza kuwa nzuri ila sasa setup haivutii... Yaani inakuwa kama umejaza mataka taka ghetto.
Starehe yake ni kula vitu vya lows!!! Neno lows lizingatie sana maana huipati kwa mchina yoyote hapo s
Dukani kkoo
Nmeipata kutoka kwenye gari la mtuKenwood monoblock umeipata wapi mkuu, na bei ikoje
307d2 iko na special bass yaan deep low air bass na pia iko na loud bass flan unaifeel kwa ndani, maana frequency yake inaanzia 18hz na sensitivity yake ni 89dbkwa hyo kwako hyo 307d inaperform vizuri kuliko 312???
307d2 iko na special bass yaan deep low air bass na pia iko na loud bass flan unaifeel kwa ndani, maana frequency yake inaanzia 18hz na sensitivity yake ni 89dbkwa hyo kwako hyo 307d inaperform vizuri kuliko 312???
Daah huyu 15 inches ni wazim mwingine labda ukae polini peke yako kwenye nyumba yako.hyu alisumbua sanaa ila nowdsys wapo wakubwa wake kma 3020 hyu anatema 1800rms watts na ni nchi 15
Mkuu uko mkoa gani nataka unisetia hayo mavitu nibebe nirudi nayo home maana umeongea kitaalamu umenipotezaHii 3003d4 ni spl sub hatali sana kwa class yake hii ni moto mwingine mzee
Niko dodoma mjin makole kalibu na chuo cha cbeMkuu uko mkoa gani nataka unisetia hayo mavitu nibebe nirudi nayo home maana umeongea kitaalamu umenipoteza
Hii 3003d4 ni spl sub hatali sana kwa class yake hii ni moto mwingine mzee
Tengeneza board kama ya Tony Caretaker wa Kenya ,au master audio fabricators.Bro hujui ninachokipenda bas tu kila mtu na ladha yake ya mziki but
What am planning ni kutengeneza setup board kwa ajili ya kupangilia system yangu ionekane vizuri kama ya geokim wa kule kenya