Kodtec Speaker systems

Kula chuma hicho hii ni receiver ya harman kardon avr 161s na pia ina subwoofer harman kardon TS18 ambayo booster yake ilikufa nimeifungia booster ya mzk wa gari ile ya bass tu sasa imekuwa tamu zaidi kuliko awali ni hatariiiiiii.. hiyo receiver ina channel 5 na kila channel ni 85 watts really kbs achana na system za kichina unaandikiwa 200 w kumbe ni 30w tu nadhan wazee wa muziki mnajua 85 watts kwa kila channel ni hatari kiasi gn.
Zile seapiano 1002 ni 80watts tu nayo si really lakini uswaz wanaimba ngonjera inapiga sn sasa compare na hii receiver chukua 85 mara 5 ndo watts za receiver yote hapo unapgia mid na twita tu maana bass linajitegemea lina 200 watts πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ€©
 

Attachments

  • 20260514_123444.jpg
    492.3 KB · Views: 5
Mkuu tupe mrejesho wa Limshangazi
 
Nilipita Grok na Chat GaPT nikaweka battle hili la

AVR vs Sound bars

AVR ni nzuri kama huko kwako, wire nyingi ila ina kupata mziki,.punchy za maana na movie effects za uhakika zaidi.
Sound bar ni kwa ajili ya sisi wapangaji less wire and easy plug n play
 
Hopefully unapata smooth deep bass with crystal clear and clarity sound. coz Harman kardon si haba wanajiweza kwenye industry.
 
Mimi natumia avr mwaka wa 6 huu,toka nimeingia huko sitatoka tena, ni mziki wa maaana sana, unakupa options nyingi sana za mziki na movie ambazo huwezi kupata popote both analogy and digital
 
Mkuu, nikihitaji km hii natakiwa niandae budget kiasi gani?
 
Mkuu, nikihitaji km hii natakiwa niandae budget kiasi gani?
Hapa bongo hawana, ila hapo kwa jirani kenya wanavyo kibao,pitia page ya istagram inaitwa sound solutions, ujikadirie mfuko wako,ila ukikuta sub inazwa 3m usishangae mambo ya SVS subs na vitu ya Polk audio spekers, avr za kuanzia 1.5m na kuendelea, kiufupi ujipange walau kuanzia 6m kwa vitu vipya,ila kwa used complite set hapa bongo andaa 1.5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…