Hakuna wabunge wawakilishi wa wananchiHujamskia mbunge wa Mbogwe Geita akidai mapato yao kwa ujumla hayatoshi?
Hujamskia mbunge wa Mbogwe Geita akidai mapato yao kwa ujumla hayatoshi?
Tuna wabunge 413 kwa taarifa za leo June 22/2021.
Ili kuondoa utata wa kodi ya uzalendo kwenye simu na luku napendekeza kodi ya uzalendo kwa wabunge Tsh 1,000,000 kila mwezi wakatwe.
Wananchi vyuma bado vimekaza
Hujamskia mbunge wa Mbogwe Geita akidai mapato yao kwa ujumla hayatoshi?
Hujamskia mbunge wa Mbogwe Geita akidai mapato yao kwa ujumla hayatoshi?
Hao wabunge ni wa kuwatupa tu uchaguzi ujao bila huruma, yaani mtu anakunja TS 200,000/= kwa kikao kimoja na sasa bunge la bajeti wanakaribia mwezi wa nne wako tu huko wanapiga domo kutaka kujiongezea posho. Mshahara TS 11,000,000/= kwa mwezi na mwisho wa mhula wa miaka mitano anapewa mkono wa kwaheri TZ 200,000,000/=Sasa si kama anataka kulipwa kwa dola, si ahamie kwenye nchi wanazolipa kwa dola?
Hao wabunge ni wa kuwatupa tu uchaguzi ujao bila huruma, yaani mtu anakunja TS 200,000/= kwa kikao kimoja na sasa bunge la bajeti wanakaribia mwezi wa nne wako tu huko wanapiga domo kutaka kujiongezea posho. Mshahara TS 11,000,000/= kwa mwezi na mwisho wa mhula wa miaka mitano anapewa mkono wa kwaheri TZ 200,000,000/=
Ubinadamu ni kazi kubwa sana, hakuna hata mmoja hapo ambaye yuko tayari afe yeye ilimradi wananchi anaowawakilisha watatuliwe shida zao.
Hujamskia mbunge wa Mbogwe Geita akidai mapato yao kwa ujumla hayatoshi?