Kodi ya ongezeko la thamani kwenye mikopo na miamala ya benki

LUS0MYA

JF-Expert Member
Aug 4, 2011
862
1,097
Kuanzia kesho tarehe 01/03/2022 gharama zote za utayarishaji wa mikopo katika benki na miamala yote itatozwa VAT...Kuna maana gani kushinikiza mabenki kupunguza riba halafu hiyo nafuu serikali inachukua kutoka kwa mteja wa benki kama VAT?je tunajua athari ya kuongezeka kwa gharama za kuchukua mikopo bank?
Screenshot_20220228-184301_Messages.jpg
 
Kuanzia kesho tarehe 01/03/2022 gharama zote za utayarishaji wa mikopo katika benki na miamala yote itatozwa VAT...Kuna maana gani kushinikiza mabenki kupunguza riba halafu hiyo nafuu serikali inachukua kutoka kwa mteja wa benki kama VAT?je tunajua athari ya kuongezeka kwa gharama za kuchukua mikopo bank?View attachment 2134195

Ilimradi watunyooshe tu

Bado anaupiga mwingi au kaacha
 
Serikali ya TOZO hii! Ubunifu wa kutafuta vyanzo rafiki vya mapato, 0!! Wanachowaza ni TOZO tu, KUOMBA MISAADA na KUKOPA MIKOPO CHEFU CHEFU.
 
Mkuu hili swala naona limeshakuwa effected na mimi nimekutana na dhahama. Nimekuta kama laki na nusu imepungua kwenye akaunti yangu nilivyoomba statement imeandikwa wamekata VAT. Hiyo ni akaunti yangu ya akiba na ndiyo napokelea mshahara, kumbuka mishahara yetu tayari imekatwa kodi (PAYE) halafu bado tunapigwa VAT kila tunapotoa, ukienda kununua bidhaa na huduma bado utalipia na VAT. Pesa hiyo hiyo inakatwa kodi mara tatu........nafikiri kuna watu mahala hawatumii vizuri akili zao au wanafanya makusudi wakijua hatuna la kuwafanya. Ni wakati sasa wanasheria wa nchi hii waamke kuwatetea raia na uonevu wa hizi kodi kandamizi.........​
 
Kuanzia kesho tarehe 01/03/2022 gharama zote za utayarishaji wa mikopo katika benki na miamala yote itatozwa VAT...Kuna maana gani kushinikiza mabenki kupunguza riba halafu hiyo nafuu serikali inachukua kutoka kwa mteja wa benki kama VAT?je tunajua athari ya kuongezeka kwa gharama za kuchukua mikopo bank?View attachment 2134195
Hatari sana
 
Mama lazima ale bata, kwa hiyo lazima mpigwe kodi mpaka mshike adabu
Ndicho ninachoona, kwa sababu sioni logic kukata VAT kutoa pesa kwenye akaunti ya akiba au akaunti ambayo mtu anapokelea mshahara. Inakuwa ni double taxation kwa sababu mshahara tayari umeshakatwa kodi (PAYE) na bado ukienda kununua bidhaa na huduma utakatwa tena VAT, then inakuwa triple taxation.......wanasheria wa nchi hii chukueni hili kuona kama sheria za kodi zinafuatwa, au ni watu tu wanaamua kukamua raia pesa kidogo walizonazo kisa wana access ya kufanya hivyo.​
 
Mkuu hili swala naona limeshakuwa effected na mimi nimekutana na dhahama. Nimekuta kama laki na nusu imepungua kwenye akaunti yangu nilivyoomba statement imeandikwa wamekata VAT. Hiyo ni akaunti yangu ya akiba na ndiyo napokelea mshahara, kumbuka mishahara yetu tayari imekatwa kodi (PAYE) halafu bado tunapigwa VAT kila tunapotoa, ukienda kununua bidhaa na huduma bado utalipia na VAT. Pesa hiyo hiyo inakatwa kodi mara tatu........nafikiri kuna watu mahala hawatumii vizuri akili zao au wanafanya makusudi wakijua hatuna la kuwafanya. Ni wakati sasa wanasheria wa nchi hii waamke kuwatetea raia na uonevu wa hizi kodi kandamizi.........​
Wanafanya haya kwa sababu wanajua wananchi ni mazuzu wamekaa kubishana habari za mpira na mipasho ya Insta! BTW mambo kama haya wananchi ndiyo wanatakiwa wakijitetee wenyewe kwa kukinukisha. Haya unasema sijui wanasheria ni kupoteza muda tu. Utakwenda mahakama gani ambyo iko huru? Narudia tena. Wanafanya hivi kwa sababu wanajua wananchi ni mazuzu. Hawana woga hata kidogo. Serikali yoyote duniani bila wananchi wake kuwa wakali kila inapozembea haiwezi kujali chochote! Usione hata nchi za Ulaya serikali zake zinavyowajibika ukadhani wananchi wake wamekaa kizembe kama sisi!
 
Ni tozo tu kila kukicha tunamshukuru sana Mwigulu kwa kuongeza tozo kila sehemu,
Kuna msemo wanasema watazoea tu
Na kweli aisee
 
Huku ni kuwaibia wananchi. Kweli nimeamini CCM iliyopo ni yakudhurumu.
 
Elimu za kukariri za akina ng'wigulu nchemba ndio zinatufikisha hapa.

Bakuli wanatembeza sana huko kwa mabeberu l na bado tozo kila kona, hawa vipi hawa?
 
Hatari sana
Wanafanya haya kwa sababu wanajua wananchi ni mazuzu wamekaa kubishana habari za mpira na mipasho ya Insta! BTW mambo kama haya wananchi ndiyo wanatakiwa wakijitetee wenyewe kwa kukinukisha. Haya unasema sijui wanasheria ni kupoteza muda tu. Utakwenda mahakama gani ambyo iko huru? Narudia tena. Wanafanya hivi kwa sababu wanajua wananchi ni mazuzu. Hawana woga hata kidogo. Serikali yoyote duniani bila wananchi wake kuwa wakali kila inapozembea haiwezi kujali chochote! Usione hata nchi za Ulaya serikali zake zinavyowajibika ukadhani wananchi wake wamekaa kizembe kama sisi!
......Ukiwa mtu wa HEWALA then expect the expected. This will go on and on till people's come to their senses.
 
Maandamano ya kupinga high exploitation from black leader tunaanza lini? Labda tutajikomboa kidogo
 
Kuanzia kesho tarehe 01/03/2022 gharama zote za utayarishaji wa mikopo katika benki na miamala yote itatozwa VAT...Kuna maana gani kushinikiza mabenki kupunguza riba halafu hiyo nafuu serikali inachukua kutoka kwa mteja wa benki kama VAT?je tunajua athari ya kuongezeka kwa gharama za kuchukua mikopo bank?View attachment 2134195
Vat yenyewe ni asilimia 18 ama ni chini ya hapo
 
Back
Top Bottom