Kodi ya majengo!

Kodi ya majengo!

MZIMU

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
4,058
Reaction score
1,377
Hivi hizi kodi za majengo si usumbufu tu?. Kwani si tunalipia huduma zinazo ingia Majumbani kwetu? kama vile umeme na maji. Yaani sisi wadanganyika, bila shaka tunaiga somewhere. Yaani tungekua realistic mgodi mmoja tu unao milikiwa na serekali, mfano Buzwagi ungetosha kulipia hizo kodi za majengo.
 
Du. Hata mimi ambaye ni mgeni siwezi kuleta kituko kama hicho
ambacho hakieleweki hebu jipange tena ulikuwa na nia nzuri kaka
 
Sijakuelewa mkuu, kuna nini mbona umekurupuka hivyo?

Du. Hata mimi ambaye ni mgeni siwezi kuleta kituko kama hicho
ambacho hakieleweki hebu jipange tena ulikuwa na nia nzuri kaka

Kumbe Mkenya. Sorry. hii mada ni kwa wadanganyika tu. Mantiki ya hiyo kodi mimi siioni wakati tunalipia huduma zinazo ingia majumbani mwetu. Maanake ulipo kua ukijenga nyumba, kila kifaa ulichotumia ulikilipia kodi. Sasa nyumba imekamilika bado unailipia kodi. No wonder is one of the most unpopular tax in our land. Just imagine uende kule kijijini halafu umwambie babu mwenye nyumba yake ya udongo, hata dispensary hakuna. Then ulimpishe kodi ya Majengo. Lazima akutoe...............Au tulipie na kodi za fanicha zilizo ndani ya nyumba. Maana katika maamuzi ya kijinga, zamani kidogo ulikua ukitumia Solar equipment unavilipia kodi. Same same crazy minds.
 
NDUGU una point hata kama wakwepa kodi walio wana JF hawakuelewi.Mimi nimeelewa kuwa kweli kjodi tungelipa lakini tungelipa kidogo badala ya sasa kwamba walalahoi mfano waajiriwa ndio walipa kodi wa kuaminika wakati wawekezaji na wenye viwanda wana mianya mingi ya kifiasdi kukwepa kodi na mingine mingi ya halali kuepuka kodi.MFANO WEWE UKIJENGA KIBANDA CHA KUKUHIFADHI USUBIRIE MAUTI HUNA MSAMAHA WOWOTE WA KODI LAKINI MTU ANAYEJENGA GHOROFA 30 KATIKATI YA MJI HUYU NI MWEKEZAJI ANA MISAMAHA KIBAO YA KODI!Ndiyo maisha haya ya kilio cha smaki na machozi kuishia baharini hata JF hawaelewi kilio hiki?
 
Back
Top Bottom