Kuna kodi mpya ya majengo imeanzishwa kwa nyumba hata zile ambazo zimejengwa sehemu zisizopimwa.
Hii imekaaje kisheria, maana lazima tutii sheria bila shuruti. Kodi hii iko kisheria? Mpaka sasa bado sheria inataka nyumba zilizojengwa katika sehemu zilizopimwa ndio zilipe.
Naambatanisha barua ya wito wa kulipa toka TRA kwa sehemu ambazo hazijapimwa.
Hii imekaaje kisheria, maana lazima tutii sheria bila shuruti. Kodi hii iko kisheria? Mpaka sasa bado sheria inataka nyumba zilizojengwa katika sehemu zilizopimwa ndio zilipe.
Naambatanisha barua ya wito wa kulipa toka TRA kwa sehemu ambazo hazijapimwa.