ZINDAGI JF-Expert Member Dec 5, 2015 1,117 1,424 Nov 4, 2016 #1 Ndugu zangu naombwa kujua kodi zinazolipwa na perxentage zake ikiwa unaleta mzigo toka Kenya kuja Tanzania
Ndugu zangu naombwa kujua kodi zinazolipwa na perxentage zake ikiwa unaleta mzigo toka Kenya kuja Tanzania
M mputa JF-Expert Member Jun 11, 2012 1,192 1,491 Nov 4, 2016 #2 kodi za nini mkuu, mazao ? au una maanisha ziorodeshwe zote hapa
ZINDAGI JF-Expert Member Dec 5, 2015 1,117 1,424 Nov 4, 2016 Thread starter #3 mputa said: kodi za nini mkuu, mazao ? au una maanisha ziorodeshwe zote hapa Click to expand... Kodi za bidhaa mbali mbali kama vile fridge, tv, vifaa vya ujenzi iwapo umevinunua Kenya na unataka kuviingiza Tz, or tunayo East African tariff?
mputa said: kodi za nini mkuu, mazao ? au una maanisha ziorodeshwe zote hapa Click to expand... Kodi za bidhaa mbali mbali kama vile fridge, tv, vifaa vya ujenzi iwapo umevinunua Kenya na unataka kuviingiza Tz, or tunayo East African tariff?