The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,320
- 117,654
- Thread starter
- #21
Mifumo hii mbona ipo , tatizo lipo kwenye Human Resources.
Hatuna watu ambao wana Nia ya dhati ya kutekeleza majukumu Yao kwa weledi,
Watendaji wanatumia nafasi zao kujinufaisha , ndio maana unaona matatizo lukuki ukadhani labda hakuna mifumo.
Maswala ya Ardhi kata - Zipo Ward Tribunals nyingi mno.
Watendaji wa Kijiji, wenyeviti wa Kijiji/mtaa,
Mahakama za Mwanzo zipo.
Yaani tambua tu kuwa kabla hujafika wilayani tayari Kuna serikali Toka level ya balozi wa nyumba kumi kumi.
Kwahiyo ukisema kwamba serikali haipo huko chini nakataa.
Swala hapa ni competent human resources.
Ndio swala ambalo awamu ya Tano ilijitahidi mno kupambana nalo na ilifanikiawa kiasi chake kurejesha uwajibikaji kwa watendaji wa serikali.
Wewe hata kuelewa huelewi kazi kuleta ubishi..
Kuna kata inayojitemea kwa bajeti?Kwa eneo?
Kuna TRA level ya kata inayokusanya mapato?
Kuna mtendaji anaeletewa bajeti ya kata yake?
Kuna polisi kata?
Mahakama ya kata?
Why Dar jiji zima kesi zianze kisutu?
Why watu waende wilayani kwa kufata hati ya kiwanja au Cheri cha kuzaliwa?
Kuna Kata inayo jitegemea?
Wewe hata kuelewa bado