Kocha wa Simba SC uwezo wake Mdogo

Timu ilicheza viziri sana hasa kipindi cha kwanza. Simwingilii kocha, binafsi sub ya Luizio sikufurahishwa nayo. Kutoka kwa Kichuya kumeigharimu timu. Nadhani Ndemla angeingia badala ya Luizio matokeo yangekuwa tofauti kwa kuwa ana uwezo wa kuchezea mpira, kuipandisha timu, kupiga pasi za mwisho na hata kupiga shuti za mbali.
Shabalala leo kacheza vizuri kuliko mchezo ulipita, ila bado hajarejea kwenye fitness yake.
Kwa ufupi, kocha angejaza viungo badala ya kuimarisha mbele ili kulinda ushindi.
Kwa upande mwingine refa ameonesha udhaifu kwa baadhi ya maamzi. Rejeeni muvu moja ilikuwa ikiekea kwenye lango la Mbao, akapiga filimbi wakati aliyechezewa faulo ni mchezaji wa Simba. Sitaki kurudia makosa yote, Othman Kazi atatusaidia.
Point moja si mbaya tusonge mbele. Tusilaumiane, Simba nguvu moja.
 
Baada ya goli saba dhidi ya Bwire, Omog mzuri sana. Sare na Mbao, Omog hafai.
Si mlimpa mechi tano? Bado subirini
 
Timu ilicheza viziri sana hasa kipindi cha kwanza. Simwingilii kocha, binafsi sub ya Luizio sikufurahishwa nayo. Kutoka kwa Kichuya kumeigharimu timu. Nadhani Ndemla angeingia badala ya Luizio matokeo yangekuwa tofauti kwa kuwa ana uwezo wa kuchezea mpira, kuipandisha timu, kupiga pasi za mwisho na hata kupiga shuti za mbali.
Shabalala leo kacheza vizuri kuliko mchezo ulipita, ila bado hajarejea kwenye fitness yake.
Kwa ufupi, kocha angejaza viungo badala ya kuimarisha mbele ili kulinda ushindi.
Kwa upande mwingine refa ameonesha udhaifu kwa baadhi ya maamzi. Rejeeni muvu moja ilikuwa ikiekea kwenye lango la Mbao, akapiga filimbi wakati aliyechezewa faulo ni mchezaji wa Simba. Sitaki kurudia makosa yote, Othman Kazi atatusaidia.
Point moja si mbaya tusonge mbele. Tusilaumiane, Simba nguvu moja.
Mbona hueleweki kaka, muamuzi alikuwa fair kama ni makosa ni ya kimchezo

Kumbuka faulo yako mpaka unapata goli la pili NIYONZIMA alijilegeza haikustahili kuwa faulo kabisa.

Ukiangalia mechi ya Yanga vs Njombe mji Kama angekuwa refa huyu mechi nzima ingejaa FILIMBI
 
Watanzania na Wanasimba toka aajiriwe kuinoa Simba, kocha Omog ameonesha uwezo mdogo sana. Hana mbinu mpya wala kuwazidi Kibadeni na Julio. Ni wa kawaida sana. Labda kwa kuwa haongei lugha ya kiswahili ndio maana waliomuajiri wanamwona ni wa maana.

Lakini kwa mpira hana uwezo wa kuipa mbinu Simba. Mwaka jana mbinu zake dhaifu ziliikosesha Simba Ubingwa. Na mwaka huu itakuwa hivyohivyo. Ili Simba iweze kufanikiwa inabidi iachane na Kocha huyu na kutafuta kocha mwenye mbinu.

Hilo ndio suluhisho.
Napendekeza.
Mpangeni Jonas Mkude muone shughuli!!! Tatizo mnawaabudu sana wachezaji hasa Okwi na Niyonzima.
 
Sasa hao unaowataja wote walisha ifundisha simba sasa sijui ww unataka kuwabeba vipi tena ....makocha ambao hata experience ya afcon hawana kocha ana mechi nne tu hajapoteza ata mchezo mmoja we unamlalamikia
Kumbe upo Simba damu naona limekugusa hili.
 
Sio kunigusa bali nimekusaidia ww usiyejua mpira ..tazama leo hii madrid inawalipa watu ma bilion ya pesa lkn wanafungwa na katinu kadogo sasa na wao wafukuze kocha ?
Ndiyo maana nimekwambia umeguswa hapa inazungumziwa Simba ya 1.3b na Omog sasa Ulaya tena tumefikaje?zungumzia Simba tuone.
 
Mi kwa mtazamo wangu hata simba wngechukua ubingwa msimu uliopita hyo kocha simkubali,Sasa hv ana kikosi cha wachezaji wazuri ila hadi sasa hana first elvn yaan kila mechi anafnya majarbio....unawezaje kuacha kumuanzisha mchezaj ka Said Ndemla?? Anywy siwez kufaham sana ila ni vizur awe na frst elvn aache kutuvalia kapelo lake lile
 
Mi kwa mtazamo wangu hata simba wngechukua ubingwa msimu uliopita hyo kocha simkubali,Sasa hv ana kikosi cha wachezaji wazuri ila hadi sasa hana first elvn yaan kila mechi anafnya majarbio....unawezaje kuacha kumuanzisha mchezaj ka Said Ndemla?? Anywy siwez kufaham sana ila ni vizur awe na frst elvn aache kutuvalia kapelo lake lile
Mbona kelele ni dhidi ya Ndemla tu, huyo Kapteni wenu Mstaafu (Mkude) hana dili tena?
 
SIMBA Vs Mbao: Sio sare tu wafanyika pia uchambuzi wa ubora wa magoli ya jana
Admin September 22, 2017 - Michezo
Screenshot_20170921-185653-660x400.jpg

SIMBA jana Alhamisi ilishindwa kukwea kileleni mwa Ligi Kuu Bara baada ya kulazimishwa sare ya mabao 2-2 na Mbao FC, lakini gumzo kubwa likiwa ni aina ya mabao yote manne yaliyofungwa Uwanja wa CCM Kirumba jijini hapa katika pambano hilo kali.
Bao la dakika ya 16 lililofungwa na kwa kichwa na Shiza Kichuya akiunganisha krosi ya Erasto Nyoni na hata lile la pili lililowekwa kimiani kipindi cha pili na James Kotei, yote yalikuwa gumzo kutokana na namna kipa wa Mbao alivyoyaruhusu.
Kichuya aliyeshindwa kumaliza kipindi cha kwanza baada ya kuumia na nafasi yake kuchukuliwa na Haruna Niyonzima, aliruhusiwa kuruka mbele ya mabeki warefu wa Mbao na kumtungua kipa Kelvin Igendelezi.
Sekunde chache baada ya kuanza kwa kipindi cha pili, Habib Kayombo aliifungia Mbao bao la kusawazisha ambalo liliwaacha watu midomo wazi baada ya kuwa wa pili kuugusa mpira tangu ulipoanzishwa na Aishi Manula kukubali kutunguliwa.
Hilo lilikuwa bao la tatu kwa chipukizi huyo ambaye msimu uliopita aliwaliza Yanga kwenye uwanja huo katika mechi ya Ligi Kuu.
Dakika chache baadaye Kotei aliyecheza vema akishirikiana na Mzamiru Yassin, aliiandikia Simba bao la pili baada ya mabeki wa Mbao kufanya uzembe, lakini mtokea benchi Emmanuel Mvuyekule alisawazisha mambo baada ya kupiga shuti nje ya 18 katika dakika ya 81 na kumuacha kipa Manula akiwa hana la kufanya.
Sare hiyo imeifanya Simba kubaki nafasi ya pili ikiwa na pointi nane baada ya kucheza mechi nne na kushindwa kuiengua Mtibwa Sugar itakayocheza Pwani keshokutwa dhidi ya Ruvu Shooting. Mtibwa ipo kileleni kwa alama tisa baada ya mechi tatu.
Mbali ya kushindwa kukwea kileleni, lakini pia sare hiyo imeitibulia Simba ambayo ilikuwa haijaruhusu bao lolote katika mechi tatu za awali, pia imemtibulia kipa wao Aishi Manula aliyekuwa hajafungwa bao lolote.
Katika mchezo huo uliokuwa mkali, Mbao ilishuka uwanjani hapo ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mechi tatu za msimu uliopita mbele ya Simba, zikiwamo mbili za Ligi Kuu na moja ya fainali ya Kombe la FA, hivyo ilicheza kwa tahadhari ikiwabana nyota wa Simba hasa Emmanuel Okwi na John Bocco.
Huo ulikuwa mchezo wa kwanza kwa Simba ugenini na wiki ijayo itaivaa Stand United mjini Shinyanga.

SIMBA:
Aishi Manula, Erasto Nyoni, Mohamed Hussein ‘Tshabalala’, Juuko Murshid, Method Mwanjani, James Kotei, Shiza Kichuya/Haruna Niyonzima, Mzamiru Yassin, John Bocco, Emmanuel Okwi, Nicholas Gyan/ Laudit Mavugo.
 
Sina imani kwa kiwango cha kocha Amog kuipa ubingwa Simba sc.
Hadi leo hajui kikosibcha kwanza cha timu yake.
Ni mgumu kufanya sub timu ikiwa haifanyi vizuri.
Kuna wachezaji hata kama hawachezi vizuri hawabadilishi.

Toka Amog aanze kuifundisha Simba sc, washabiki hatujawahi kuwa na fulaha.
Simba haijawahi kufanya
vizuri.
Simba inashinda mechi moja zinazofuata ni sare au kufungwa.

Mimi binafsi Simhitaji Amog.
 
Timu ilicheza viziri sana hasa kipindi cha kwanza. Simwingilii kocha, binafsi sub ya Luizio sikufurahishwa nayo. Kutoka kwa Kichuya kumeigharimu timu. Nadhani Ndemla angeingia badala ya Luizio matokeo yangekuwa tofauti kwa kuwa ana uwezo wa kuchezea mpira, kuipandisha timu, kupiga pasi za mwisho na hata kupiga shuti za mbali.
Shabalala leo kacheza vizuri kuliko mchezo ulipita, ila bado hajarejea kwenye fitness yake.
Kwa ufupi, kocha angejaza viungo badala ya kuimarisha mbele ili kulinda ushindi.
Kwa upande mwingine refa ameonesha udhaifu kwa baadhi ya maamzi. Rejeeni muvu moja ilikuwa ikiekea kwenye lango la Mbao, akapiga filimbi wakati aliyechezewa faulo ni mchezaji wa Simba. Sitaki kurudia makosa yote, Othman Kazi atatusaidia.
Point moja si mbaya tusonge mbele. Tusilaumiane, Simba nguvu moja.
Kwa kikosi kilichopo sasa, katikati namba sita lazima akae Mkude ndio wataona Simba wanacheza kwa move zinazoeleweka, naona sasa Simba wameachana na passing football wamebaki kupiga mipira kwenda mbele for lack of a gifted midfielder the like of Mkude.
 
Mpangeni Jonas Mkude muone shughuli!!! Tatizo mnawaabudu sana wachezaji hasa Okwi na Niyonzima.
Mkude ndie atakayemfukuzisha huyo kocha Simba, best midfielder Tanzania halafu anakaa benchi kwanini usifukuzwe kwa kukosa matokeo.
 
Watanzania na Wanasimba toka aajiriwe kuinoa Simba, kocha Omog ameonesha uwezo mdogo sana. Hana mbinu mpya wala kuwazidi Kibadeni na Julio. Ni wa kawaida sana. Labda kwa kuwa haongei lugha ya kiswahili ndio maana waliomuajiri wanamwona ni wa maana.

Lakini kwa mpira hana uwezo wa kuipa mbinu Simba. Mwaka jana mbinu zake dhaifu ziliikosesha Simba Ubingwa. Na mwaka huu itakuwa hivyohivyo. Ili Simba iweze kufanikiwa inabidi iachane na Kocha huyu na kutafuta kocha mwenye mbinu.

Hilo ndio suluhisho.
Napendekeza.
Inaonekana mkuu utakuwa na mbinu mbadala aisee, vip unaonaje ukichukua nafasi hiyo
 
omog uwezo mdg? wakti Msemaji wa simba ana sema Omog ni unbeaten coach, ana ubingwa wa caf na vpl kupitia azam
 
Best midfielder in the country sijui kawakosea nini Simba. Ila timu haina passing movements kama alipokuwa anacheza Mkude kati.

Kama uko serious, Mkude alicheza kama substitute mechi ya mwadui ila bado hajarudi vizuri kwenye fitness yake. Ukisema best in the country mbona National Team hayupo? kuna factors nyingi yeye mwenyewe akijitafiti na kutafuta mafanikio hayo atapata. COACHES na uongozi wakati mwingine wanaishiwa jinsi, anatakiwa kujiongeza ku wa prove wrong if at all wana muonea. Wachezaji wana mabo mengi.
 
Back
Top Bottom