Malyenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2012
- 6,658
- 3,646
Watanzania na Wanasimba toka aajiriwe kuinoa Simba, kocha Omog ameonesha uwezo mdogo sana. Hana mbinu mpya wala kuwazidi Kibadeni na Julio. Ni wa kawaida sana. Labda kwa kuwa haongei lugha ya kiswahili ndio maana waliomuajiri wanamwona ni wa maana.
Lakini kwa mpira hana uwezo wa kuipa mbinu Simba. Mwaka jana mbinu zake dhaifu ziliikosesha Simba Ubingwa. Na mwaka huu itakuwa hivyohivyo. Ili Simba iweze kufanikiwa inabidi iachane na Kocha huyu na kutafuta kocha mwenye mbinu.
Hilo ndio suluhisho.
Napendekeza.
Lakini kwa mpira hana uwezo wa kuipa mbinu Simba. Mwaka jana mbinu zake dhaifu ziliikosesha Simba Ubingwa. Na mwaka huu itakuwa hivyohivyo. Ili Simba iweze kufanikiwa inabidi iachane na Kocha huyu na kutafuta kocha mwenye mbinu.
Hilo ndio suluhisho.
Napendekeza.