Kocha Miloud apewe mitano tena!

Kocha Miloud apewe mitano tena!

Truth Matters

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2013
Posts
2,633
Reaction score
5,606
Kwa jinsi alivyoiendea mechi ya leo ni wazi anakijua anachokifanya. Nashauri Yangq imuongezee nguvu kwa kuziba madhaifu yaliyopo na kumpa uhuru wa kupanga na kuamua kikosi. Sababu zangu ni hizi.

1. Jinsi alivyoweza kuwasoma na kudhibiti ufanisi wa Simba kupitia Mpanzu, Kibu na Budo

2. Jinsi alivyoweza kuhimili presha ya kutoanza na champ

Soma Pia: Full Time: Yanga SC 2-0 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 25.06.2025 | Yanga Bingwa

3. Kuhimili pressure ya kumfanya sub ya Dube mapumziko

4. Muendelezo wa matokeo kwenye ligi
 
Back
Top Bottom