Truth Matters
JF-Expert Member
- Apr 12, 2013
- 2,633
- 5,606
Kwa jinsi alivyoiendea mechi ya leo ni wazi anakijua anachokifanya. Nashauri Yangq imuongezee nguvu kwa kuziba madhaifu yaliyopo na kumpa uhuru wa kupanga na kuamua kikosi. Sababu zangu ni hizi.
1. Jinsi alivyoweza kuwasoma na kudhibiti ufanisi wa Simba kupitia Mpanzu, Kibu na Budo
2. Jinsi alivyoweza kuhimili presha ya kutoanza na champ
Soma Pia: Full Time: Yanga SC 2-0 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 25.06.2025 | Yanga Bingwa
3. Kuhimili pressure ya kumfanya sub ya Dube mapumziko
4. Muendelezo wa matokeo kwenye ligi
1. Jinsi alivyoweza kuwasoma na kudhibiti ufanisi wa Simba kupitia Mpanzu, Kibu na Budo
2. Jinsi alivyoweza kuhimili presha ya kutoanza na champ
Soma Pia: Full Time: Yanga SC 2-0 Simba SC | Ligi Kuu NBC | Benjamin Mkapa Stadium | 25.06.2025 | Yanga Bingwa
3. Kuhimili pressure ya kumfanya sub ya Dube mapumziko
4. Muendelezo wa matokeo kwenye ligi