granitized
JF-Expert Member
- Jul 5, 2016
- 2,422
- 5,785
sawa mkuu, 5imba guvu moyaaaaaaaaaaSio Simba ni 5imba au Kimba guvu moyaaaaaaaaaaa
sawa mkuu, 5imba guvu moyaaaaaaaaaaSio Simba ni 5imba au Kimba guvu moyaaaaaaaaaaa
Nani alikwambia mpira wa miguu ni mchezo wa medali?imekuwa Olympic hiyo?Mpira wa miguu ni mchezo wa makombe, kama hakuna makombe na medali hakuna mazuri. Mtu akihoji mchakato wa mabadiliko umekwamia wapi, bil 20 ziko wapi, kwanini Rais wa heshima ndio katoa hotuba Simba day badala ya try again au Mangungu, au kwanini waliwasha moto katikati ya uwanja wa Orlando pirates ni kutaka kuivuruga timu?
Tatizo la Watanzania ni Moja.Kaka kuna mambo mangapi yanafanyika Yanga mbona hamuhoji Nina Nani anajua mkataba WA Yanga na Whizmo je Kati yetu Nani anajua wamepewa kiasi gani na mkataba WA mda gani.je Nani anahoji kuhusu fred yupo wapi je Nani anahoji kuhusu kiwango cha konkon je hayo NI mazuri tumekazana na mambo ambayo pengine hayana faida na Sisi hivi unafikili ukimpaka matope jirani yako wewe ndio utakuwa msafi.
simba ina tabia ya kushikilia wazee wao (Chama, Bocco, Ndemla, etc) eti wasiende Yanga na ina tabia ya kupokea wazee (Saido, Niyonzima, etc) kutoka Yanga, ila yanga inapokea vijana (Yondani, SMG, Ajib, etc) kutoka Simbamuda wao umeisha we samaki
mkuu ,wee mkomavuKwani mafanikio yaliyofikiwa na Simba hadi sasa yalifikiwa chini ya viongozi malaika?
Kwa nini argument zinakuwa za kitoto namna hii?
Akina Kotei na Zana Coulibaly walioifikisha Simba Robo Fainali ya kwanza baada ya miaka mingi kutofika hapo walikuwa wachezaji chini ya uongozi upi?
Barcelona wanakaribia kumtimua XAVI je, management ya Barca ndiyo mbovu au kocha ndiye mbovu?
Acheni watu wafanye kazi zao wakifeli au wakifaulu tafuta angle ukae uamue kucheka au kulia,ni hayo tu
Mkuu lazima tuseme ukweli ili tupone, kusifia timu zetu kishabiki hakuwezi kutusaidia sisi, timu zetu na mpira wetu.Kwani mafanikio yaliyofikiwa na Simba hadi sasa yalifikiwa chini ya viongozi malaika?
Kwa nini argument zinakuwa za kitoto namna hii?
Akina Kotei na Zana Coulibaly walioifikisha Simba Robo Fainali ya kwanza baada ya miaka mingi kutofika hapo walikuwa wachezaji chini ya uongozi upi?
Barcelona wanakaribia kumtimua XAVI je, management ya Barca ndiyo mbovu au kocha ndiye mbovu?
Acheni watu wafanye kazi zao wakifeli au wakifaulu tafuta angle ukae uamue kucheka au kulia,ni hayo tu
Benchikha ni kocha mkubwa sana Afrika hiyo haina ubishi, Simba ni miongozi mwa feeder clubs Afrika hasa kwa timu za Kaskazini, haiwezi kugombania wachezaji wazuri sana na timu kubwa. Sio kocha wa kukuza vipaji bali ni kocha wa matokeo ya leoleo.Uongo mtupu.
Weka ushahidi kayasema wapi hayo ya vibajaji na fuso kama u nkweli.
Wacha porojo, nimeandika hivi, jibu nilichoandika:Benchikha ni kocha mkubwa sana Afrika hiyo haina ubishi, Simba ni miongozi mwa feeder clubs Afrika hasa kwa timu za Kaskazini, haiwezi kugombania wachezaji wazuri sana na timu kubwa. Sio kocha wa kukuza vipaji bali ni kocha wa matokeo ya leoleo.