IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,549
- 2,668
Nyoka black mamba au koboko amemuuma mtoto Palenji mwenye umri wa miaka 4 mkazi Wa kijiji cha Masanyita kata ya Mpapa wilayani Momba mkoani Songwe, ambaye amefariki ndani ya dakika 48 baada ya sumu kusambaa mwilini.
Mtaalamu wa masuala ya tabia za wanyama pori Bi.Janethi Masembo amesema koboko ni nyoka mwenye sumu za aina mbili ambazo ushambulia mfumo wa fahamu pindi ziingiapo mwilini na zinaua ndani ya muda mchache baada ya kukosa matibabu.
Chanzo RFA
Mtaalamu wa masuala ya tabia za wanyama pori Bi.Janethi Masembo amesema koboko ni nyoka mwenye sumu za aina mbili ambazo ushambulia mfumo wa fahamu pindi ziingiapo mwilini na zinaua ndani ya muda mchache baada ya kukosa matibabu.
Chanzo RFA




Analindwa Je ?! Umewahi kuona msafara wake ?!