mwanadar
JF-Expert Member
- Oct 18, 2015
- 394
- 259
Mm hiyo avatar yako mkuu. Ni motooo.SUA walishawahi kufuga nyoka bhna hao wadudu sijui walifanyeje wakatoroka kundi kubwa yaan wakasumbua sana mitaani. Mpaka leo na kesho wapo tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm hiyo avatar yako mkuu. Ni motooo.SUA walishawahi kufuga nyoka bhna hao wadudu sijui walifanyeje wakatoroka kundi kubwa yaan wakasumbua sana mitaani. Mpaka leo na kesho wapo tu
Imekufanyeje bhnMm hiyo avatar yako mkuu. Ni motooo.
hata mimi simpendii but siwezi mtakia kifo, hiyo ni kazi ya Aliyemuumbaa
basi aishi miaka mingi tuone mwisho wake tujifunze piaUtasubiri sana
Eti nyoka WA dar, ngoja wanaume WA dar wajeR.I.P mtoto. Hakuna Reptiles siwapendi kama nyoka. Kuna siku nilikuwa naanika nguo nyumbani kwangu para paap akadondoka mbele yangu nyoka wa kijani hawa wa Dar. Niliogopa. Baadae niliambiwa hawa nyoka wa Dar wa kijani sio hatari. Hatari ni wale weusi.
Hii avatar inafaa kukumatia weziImekufanyeje bhn
Fafanua mkuu. Kiaje?Hii avatar inafaa kukumatia wezi
Maskini...kwann wasiwepo hawa nyoka pale Bungeni...kuna wabunge wamekatwa vidole..wangemaliziwa na Koboko...rip mtoto
Ni black mambaHuyu ni aina gani ya nyoka? Mana nimekutana nae mahali nikafanikiwa kumuuaView attachment 1105148
Wanaume wa mkoani Nyie si magangwe Hebu kabiliana nae huyo
Koboko....tunawaminia
Ova
Ni kweli kuna nyoka wa kijani hawana lakini ujue kuna koboko wa kijani Anaitwa green mamba unachotakiwa kufanya waogope nyoka wote sababu nyoka wapo katika makundi mawili tukitumia kigezo cha sumu wapo wasio na sumu na wenye sumuR.I.P mtoto. Hakuna Reptiles siwapendi kama nyoka. Kuna siku nilikuwa naanika nguo nyumbani kwangu para paap akadondoka mbele yangu nyoka wa kijani hawa wa Dar. Niliogopa. Baadae niliambiwa hawa nyoka wa Dar wa kijani sio hatari. Hatari ni wale weusi.
Black racer, huwinda sana mipanya ya majumbaniHuyu ni aina gani ya nyoka? Mana nimekutana nae mahali nikafanikiwa kumuuaView attachment 1105148