KNOWOLEDGE OF THA DAY.KUUNGANISHA VIDEO kWENYE TOVUTI.

Mtazamaji

JF-Expert Member
Feb 29, 2008
5,937
1,437
Ninashangaa kwa nini vyombo vya habari kama TBC, ITV, etc na vingine havina channnel wala clip ya youtube za taarifa za habari za kila siku. Huwezi kuon au kusikia video ya taarifa ya habari kwenye tovuti ya TBC . Nini maana ya chombo cha sasa ?

Nilidhani ni kazi kubwa sana But leo nimejifunz ana nimejaribu kuweka video youtube kwenye na kuiunganisha kwenye tovuti ni kama 1+1

hapa kwenye web yangu ya mazoezi Video of the day nimejaribu kuattach video . Video inaeleza mambo ya msingi yanayohusiana na mabadiliko kutoka analog TV transmision to digital transmission


So nini kinahitajika kuaattcah video kwenye tovuti?
Kwenye video ya youtube kuna sehemu ina neno embed . Ndani ya kibox cha embed kuna code za iframe amabzo ukizocopy na kupaste kwenye ukurusa wa tovuti ko basi video hiyo inaonekana kama iko hosted kwenye web na sio youtube

TVT, ITV, na vyombo vingine vingine vya habari aibu vitu vidogo hivi vinawashinda nini? You tube ni bure.Tutasema tunakosa nini?
 
Hivi TBC hawana mtu ambaye anaweza kuwa ana uppload japo taarifa za habari za kila siku youtube. Mbona kwenye tovuti yao kuna link za zamani sana ?

Kwa nini wasiweke policy wakatai wana upadte tec information basi wawe wanaweza na Video taarifaya habari ya siku au kipindi chochote wanadhani kina wavutia watu wengi.

Leo nimejaribu kupiga hizi number zinazoonekana kwenye web yao nazo hazipokelewi . Anyone anayejua number ya TBC anipe
 
mnnnnh TBC tena ya niini hapa aaaaaaaghhhhhhh

Mkuu hope umesoma toka mwanzo wa thread. Lakini kujujibu swali lako TBC ni chombo amabacho kwanza ni umma kwa hiyo tunatakiwa tukiseme sana tofauti na ITV na wenzake . Pili kinatakiwa kwe mfano kwenye matumizi ya Teknolojia ikiwemo teknohama..

Sasa iweje chombo cha habari cha televeisn kishindwe ku appload hata taarifa za habari za siku na kuweka kwenye page yao. Kumbuka kuna tofauti ya TBC na daily news na mwananchi . lakini kwa tovuti yao ilivyo ni kama TBC nayo web ya magazeti. tu . We need to see updated Visual contentt sio text content pekee.

What isthe realible source watanzania wakitaka kuangalia taarifa ya habari mtandaoni.

Hakuna sehemuyeyoye kuna hata attachement ya audio iwe ni ya hotuba ya JK, Nyerere au yeyote yule..

Opportunity zipo tena free we dont just use them .
 
mnnnnh TBC tena ya niini hapa aaaaaaaghhhhhhh

we mikatabafeki, acha hizo. ni kuvunjana moyo. mtazamaji keep it up. tunapenda watu wawe kama wewe na zaidi yako.
acha tv, hata redio tu zinawashinda. wameshindwa hata na mrisho mpoto na redio maria!!!!!
 
Back
Top Bottom