Titicomb
JF-Expert Member
- Jan 27, 2012
- 11,329
- 17,832
Ni jambo la kushangaza kidogo, unaweza kujiuliza alitoa wapi ujasiri na maono hayo?
Kabla ya kuanza msimu wa Ligi Kuu Uingereza wa 2019/2020 meneja au kocha mkuu wa Liverpool FC akiwa katika ziara ya maandalizi msimu mpya (pre-season preparation tour) nchini Marekani katika jiji la New York mnamo mwezi July 2019 alisema
"Mshindani wa Liverpool siku zote itakuwa Liverpool FC yenyewe, kuongeza kwa tamaa au njaa [ya mafanikio] na ukuaji wa pamoja haitakuwa mahitaji bali ni sheria."
'During the introductory meeting on Lexington Avenue, Klopp insisted Liverpool's greatest competitor will always be itself. An increase in greed and collective growth is therefore "not a demand, but the law." ' source: http:s//www.espn.com
Maelezo hayo yanasimuliwa na shabiki na mwandishi maarufu wa habari za michezo hasa za Liverpool FC mwanadada Melissa Reddy akiandika habari zake chini ya ESPN.
Kwa matokeo ya Liverpool kungoza ligi tofauti ya pointi 22 baada ya kucheza mechi 25 bila kupoteza mechi, sare 1 na kushinda mechi 24 hadi leo tarehe 13 February 2020, kuzifunga timu zote za ligi kwa msimu huu angalau mechi moja, inaonesha sio bahati bali ni mikakati ya Klopp na jumuiya yote ya Liverpool FC.
Hakika LFC haina mpinzani na kwa hakika mpinzani wa Liverpool ni Liverpool yenyewe, maneno yake yametimia kama unabii.
Kabla ya kuanza msimu wa Ligi Kuu Uingereza wa 2019/2020 meneja au kocha mkuu wa Liverpool FC akiwa katika ziara ya maandalizi msimu mpya (pre-season preparation tour) nchini Marekani katika jiji la New York mnamo mwezi July 2019 alisema
"Mshindani wa Liverpool siku zote itakuwa Liverpool FC yenyewe, kuongeza kwa tamaa au njaa [ya mafanikio] na ukuaji wa pamoja haitakuwa mahitaji bali ni sheria."
'During the introductory meeting on Lexington Avenue, Klopp insisted Liverpool's greatest competitor will always be itself. An increase in greed and collective growth is therefore "not a demand, but the law." ' source: http:s//www.espn.com
Maelezo hayo yanasimuliwa na shabiki na mwandishi maarufu wa habari za michezo hasa za Liverpool FC mwanadada Melissa Reddy akiandika habari zake chini ya ESPN.
Kwa matokeo ya Liverpool kungoza ligi tofauti ya pointi 22 baada ya kucheza mechi 25 bila kupoteza mechi, sare 1 na kushinda mechi 24 hadi leo tarehe 13 February 2020, kuzifunga timu zote za ligi kwa msimu huu angalau mechi moja, inaonesha sio bahati bali ni mikakati ya Klopp na jumuiya yote ya Liverpool FC.
Hakika LFC haina mpinzani na kwa hakika mpinzani wa Liverpool ni Liverpool yenyewe, maneno yake yametimia kama unabii.