Ohooooo !!!Tumeruhusu waarabu waingie na mandege yao ya mizigo kuleta watalii nchini mashaka ndio yameanzia hapa
Watu wanaenda na upepo utakapoendaDuh!!! Bongo raha sana!
Yule mwamba wako angekuza tatizo. Tushukuru MunguAngekuwepo mheshimiwa jiwe angewajibu hii,tena majibu ya ngumu kumeza. Yule mwamba alikuwa hawaogopi hawa watu.
Utamwangusha lini mzungu wewe kiuchumi? Hadi leo unachambia kopo za kutu na kulalia neti kuogopa mbu wanaokuzingira useme utawaangusha wazungu wewe?Tanzania hakuna ugaidi hii ni vita ya kiuchumi
Lengo la mabeberu na vibaraka wa ushogo weusi baada ya kuona tuna strong political stability now na tutawaangusha kiuchumi wanakuja na mambo yao mapya ili tuendelee kuwa chini kiuchumi kuliko wao!!
Hata Ile story ya jana ya meli inayotaka Tanzania kuanguka IRAN ni mikakati Ile Ile nimeona imesambaa Sana Ile habari why? CNN & .CO wote wameitangaza kwa haraka!!
TISS fanyeni jambo kwenye hili swala!! Kenya na Rwanda ni nchi hatari Sana ukanda huu wa EAC tunatakiwa kuwa nao makini Sana!!.
Ni mara ya pili ninakusoma ukilisema hili.Mjomba wangu amenipenyezea jambo zito sana. Stay tuned and stay at home!
Tanzania hakuna ugaidi hii ni vita ya kiuchumi
Lengo la mabeberu na vibaraka wa ushogo weusi baada ya kuona tuna strong political stability now na tutawaangusha kiuchumi wanakuja na mambo yao mapya ili tuendelee kuwa chini kiuchumi kuliko wao!!
Hata Ile story ya jana ya meli inayotaka Tanzania kuanguka IRAN ni mikakati Ile Ile nimeona imesambaa Sana Ile habari why? CNN & .CO wote wameitangaza kwa haraka!!
TISS fanyeni jambo kwenye hili swala!! Kenya na Rwanda ni nchi hatari Sana ukanda huu wa EAC tunatakiwa kuwa nao makini Sana!!
huu mradi wa umeme unawauma sana Tanzania to build Stiegler's Gorge dam in a wildlife reserve and Unesco site - LifeGate. Hi vita ya kiuchuni inabidi iwe na team maalum ku dral nazoTanzania hakuna ugaidi hii ni vita ya kiuchumi
Lengo la mabeberu na vibaraka wa ushogo weusi baada ya kuona tuna strong political stability now na tutawaangusha kiuchumi wanakuja na mambo yao mapya ili tuendelee kuwa chini kiuchumi kuliko wao!!
Hata Ile story ya jana ya meli inayotaka Tanzania kuanguka IRAN ni mikakati Ile Ile nimeona imesambaa Sana Ile habari why? CNN & .CO wote wameitangaza kwa haraka!!
TISS fanyeni jambo kwenye hili swala!! Kenya na Rwanda ni nchi hatari Sana ukanda huu wa EAC tunatakiwa kuwa nao makini Sana!!.
Nimeshindwa kuiunganisha habari ya KLM na hii ya kwako. Ni kama zinapingana!Ndo maana CCM ya mwenyekiti Samia Hassan imebidi kuanza maridhiano maana walichokuwa wanafanya CCM ya JPM kwa miaka 7 kuzuia mikutano ya siasa ya hadhara, uchafuzi wa uchaguzi, kesi mahakamani zisizo na mashiko n.k zimepelekea wasiwasi wa machafuko.
Hongera kwa CCM ya Samia Hassan kufanya mageuzi ya kuondoa makatazo haramu, kurejea mezani kutafuta maridhiano n.k hali hiyo itaondoa dhana ya uwezekano wa machafuko nchini.
Kuna jambo mahala haliko sawa.Misikiti nayo siyo salama, sababu eti Wazungu watalii wakiwa Dar hupendelea kutembelea masjid.
Kwa iyo wewe unataka iweje?We ni lipumbavu na lipopoma kiasi hiki kumbe? Utamwangusha lini mzungu wewe kiuchumi? Hadi leo unachambia kopo za kutu na kulalia neti kuogopa mbu wanaokuzingira useme utawaangusha wazungu wewe?
Mkishashiba dagaa na kuangusha hizo manii zenu mnajionaga watu kweli!!
Mnatia kinyaa.
wenzetu huwa wapo straight sana kwa masilahi ya watu wao
ukiachili kuwa wana fitina za hapa na pale lakini maranyingi
huwa wanapenda kuchukua tahadhari wameheshi angalizo la mamlaka yao
safi sana sio bongo wao wanawawazia wananchi wao kodi na tozo mpya
ila kihusu maisha yako ujipambanie kivyako
Tanzania hakuna ugaidi hii ni vita ya kiuchumi
Lengo la mabeberu na vibaraka wa ushogo weusi baada ya kuona tuna strong political stability now na tutawaangusha kiuchumi wanakuja na mambo yao mapya ili tuendelee kuwa chini kiuchumi kuliko wao!!
Hata Ile story ya jana ya meli inayotaka Tanzania kuanguka IRAN ni mikakati Ile Ile nimeona imesambaa Sana Ile habari why? CNN & .CO wote wameitangaza kwa haraka!!
TISS fanyeni jambo kwenye hili swala!! Kenya na Rwanda ni nchi hatari Sana ukanda huu wa EAC tunatakiwa kuwa nao makini Sana!!.