Kinachofurahisha wakata viuno wapo wengi na mechi inawahusu kuliko hata wahusika.
Wanajua hatupo level moja na kinawakera sana.
Ni kama umuone hohehae akimwona mtu aliyefanikiwa akipita utasikia analalama pesa za majini hizo,Freemason na kadhalika.Huwezi kumsikia hohehae huyo akizungumzia namna ya kujikwamua kwenye hali yake.
Wanajua hatupo level moja na kinawakera sana.
Ni kama umuone hohehae akimwona mtu aliyefanikiwa akipita utasikia analalama pesa za majini hizo,Freemason na kadhalika.Huwezi kumsikia hohehae huyo akizungumzia namna ya kujikwamua kwenye hali yake.