Sesten Zakazaka
JF-Expert Member
- Sep 10, 2017
- 10,561
- 19,056
Hahaha imetoka moyoni kabisa
Hahaha imetoka moyoni kabisa
Bado hujaelewa hoja yangu.Mazembe ameshafungwa ktk michuano hii ya makundi akiwa ugenini hivyo anafungika vizuri tu sasa hata akitufunga kwao na sisi tukamfunga kwetu kitakachoamua si magoli tuliyofungana.Mkuu umesema Mazembe wanafungika nyumbani?
Hatua ya makundi mechi za nyumbani
Mazembe 2 ismaily 0
Mazembe 8 clab African 0
Mazembe 3 Constantine 0
Kifupi hawajaruhusu goli nyumbani na ndo timu ilifunga magoli mengi 13 mechi hatua ya makundi.
Simba ndo timu ilifungwa magoli mengi hatua ya makundi goli 12
Simba kufuzu inaitajika massive improvement kwenye defense hasa mechi za ugenini na kufunga goli za kutosha nyumbani hatua hii ushindi was 1-0 au 2-1 hauna tija tena
Sent using Jamii Forums mobile app
We are unstoppableHahaaa. Tatizo mnapataga ushindi kiduchu na hilo ndio litawatowa. Au wadhani mwaeza mfunga zaidi ya bao 4 kwa Mkapa?
kila la heri tupwisa mazembeTukipigwa kwenye hatua ambayo tangu unazaliwa hadi leo hujawahi iona yanga ikifika iyo hatua we hayakuhusu...we yanayokuhusu ni haya ya kupumuliwa na kina lipuli...mwaka huu kuna watu lazima mmepata vidonda vya tumbo
Hahaaah kamweneeee....kimoja cha mkwezikila la heri tupwisa mazembe
Kuuliza si ujinga lakini masuala mengine ni uzuri ujibiwe kwa ufanuzi ili iwe faida kwa siku zijazo.Ila Simba anaanzia nyumbani ama ugenini
50 years plus and stil is a jungle. Angetamka maneno hayo sasa hivi basi angembiwa ni racist. How could he call a country a jungle?Rumble iń the jungle
Bana CONĢOOO
Kwanini Caf wamepanga ivyo,nilitegemea yakuwa mwenye rank ndogo kama Simba angepewa advantage kubwa ya kumalizia nyumbani na yule mwenye rank kubwa basi amalizie ugenini kwani wanakuwa wanauwezo mkubwa.Kuuliza si ujinga lakini masuala mengine ni uzuri ujibiwe kwa ufanuzi ili iwe faida kwa siku zijazo.
Timu iliyoko juu yako ki rank anapewa advantage ya kumalizia game ya marudiano nyumbani.
TP mazembe kamaliza wa kwanza na simba wa pii. Kwa hiyo utajaza mwenyewe.
Kama wangekutana nusu fainali kwa mfano baada ya kushinda mechi zao za robo fainali, bado Simba wangeanza nyumbani kwa vile rank wise TP Mazembe iko juu kuliko Simba.
kawaida tuHahaaah kamweneeee....kimoja cha mkwezi
Oooh. Sawa Mtani. Hivyo Pamoja na nyie eee?Vilabu vyote 8 vitakavyocheza robo fainali ya CACL vipo vizuri.
Kabisa! Simba ndio klabu pekee ndani ya nchi 5 zinazounda jumuiya ya Africa Mashariki inayoshiriki michuano mikubwa Africa kwa ngazi ya vilabu (CACL) ukitoa Gor -Mahia walioko shirikisho je huko si kuwa vizuri?Oooh. Sawa Mtani. Hivyo Pamoja na nyie eee?
Hakuna aliyekwenda kuwapa mbinu banaa Mtani. Nyie mawazo yenu tu.Mtani kwa hiyo AS Vita mlienda kuwapa mbinu hawako vizuri?
Hakuna aliyekwenda kuwapa mbinu banaa Mtani. Nyie mawazo yenu tu.
Mbona alijieleza sana nadhani hamkutaka kumuelewa tu huyo mzee wa watu. Ila alikuwa na sababu za msingi tu.Aaah, Mtani. Kwa nini Zahera hakwenda Kamwene wakati yuko hapa hapa nchini?