Just Pray
JF-Expert Member
- Nov 7, 2023
- 2,142
- 4,777
TWENDE MAGOTINI KWA NIA NA IMANI
Jumapili ya 10 baada ya UTATU, KKKT utafakari juu ya HAKI HUINUA TAIFA, na DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOWOTE.
Tumo katika juma hilo. Tunaalikwa sote kumlilia Mungu ili tusitenganishe HAKI na AMANI.
1. Kama HAKI huinua Taifa, basi dhuluma huangusha taifa.
2. Ili kuifikia Amani ilikofichwa, tunaalikwa kufungua sanduku la haki. Tutaikuta amani ndani ya sanduku hilo.
Dayosisi ya Karagwe ya KKKT tutafunga kwa masaa 24 kuanzia jumamosi 30/8 hadi 31/8/2025.
Haki na Amani viwe kwenu.
Jumapili ya 10 baada ya UTATU, KKKT utafakari juu ya HAKI HUINUA TAIFA, na DHAMBI NI AIBU KWA WATU WOWOTE.
Tumo katika juma hilo. Tunaalikwa sote kumlilia Mungu ili tusitenganishe HAKI na AMANI.
1. Kama HAKI huinua Taifa, basi dhuluma huangusha taifa.
2. Ili kuifikia Amani ilikofichwa, tunaalikwa kufungua sanduku la haki. Tutaikuta amani ndani ya sanduku hilo.
Dayosisi ya Karagwe ya KKKT tutafunga kwa masaa 24 kuanzia jumamosi 30/8 hadi 31/8/2025.
Haki na Amani viwe kwenu.