Nimejiuliza wakati napitia uzi wa Cantalisia kuhusu jamaa alietoka nduki baada ya kugundua mpenzi wake ana mawe zaidi yake.Sasa swali linakuja,kwanza wanawake wanakubali kuwa mwanaume ni kichwa cha familia?(Kuwa kichwa kuna maana ya kutolea maamuzi ya mwisho jambo lolote linalohusu familia)kama wanakubali mwanaume ni kichwa kwa tafsiri hiyo,Je mwanamke anapoolewa akakutwa na mali aliyoichuma mwenyewe hii nayo itaingia katika usimamizi na maamuzi ya mwisho ya mume?(hapa nazungumzia maamuzi chanya sio ya kufuja mali)Yaani mke hatakua tena na kauli ya mwisho na namna ya kuendesha mali hiyo kwa sababu mwanamke huyo tayari anamilikiwa na mume ama mali ya mwanamke haitamhusu mume?Jambo hili huenda ndio sababu ya ugumu wa kuoa mwanamke mwenye mali!
Ameni,nitakukumbuka kwenye sala zangu...maana umeelimika na naona mashost wengi hawachangii nahic kuna ka ukweli flani hapa
Amen,:lol::lol::eyebrows: Leo full upako hadi kwenye keyboard hapa button zote zinanena kwa lugha na kumuimbia bwana mapambio
Nakubaliana na wewe,but vipi huhusu mali za mwanamke alizochuma kabla ya kuolewa na mume,zitakuwa chini ya nani?
Nimekupata AZUU,hayo kweli yapo na ndio maana kumewekwa sheri ambazo zimekusaidia ww kupata haki yako,Jamani mimi sikatai kuwa wanaume ni viongozi wa familia ,tatizo wengi ni wabinafsi saana na wanafanya maamuzi mabaya na yenye madhara kwa famia ,kwa mfano mimi niliolewa na mume tulieanza nae maisha kwa pamoja hatuna chochote baada ya kuchanganya mshahara wangu na wake tukafanya maendeleo mengi na tulipata watoto pia,baada ya miaka kumi mwenzangu akampenda mwanamke mwengine na kwa bahati mbaya au nzuri ndoa yetu ikavunjika na akanipa miezi miwili nitoke kwenye nyumba tuliyojenga ,kwa kweli sikukubali na ukawa ugomvi mkubwa wa kugombea mali na watoto ,je cantalisa upo hapo?
NAWASHAURI WANAWAKE MSIJIBWETEKE NA MUSIWAAMINI WANAUME 100% ,MALI ZAKO ZITAKUFAA WAKATI WA DHIKI USIMUACHE ACHEEZEE SHAURIANENI KWA WEMA NA AKITOA WAZO ZURI KUBALI LAKINI KUWA MAKINI NA HICHO MANACHOITA KICHWA CHA FAMILIA HATA KAMA NI MAAMUZI YA KUKUTESA NA WATOTO WAKO,BINAFSI NILIFIGHT FOR MY RIGHTS NA NASHUKURU MUNGU NILIFANIKIWA NA SIJATOKA NYUMBANI NI YY NDIE ALIEFUNGASHA ,NI MAONI TU UNAWEZA AMUA KUTIIIIII MBAKA UFIE HAPO BILA YA KICHWA CHA FAMILIA KUKUHURUMIA ,MBONA MENGI YANATOKEA KWENYE NDOA
Lol....Hii ni ya kudumu si ya muda kama homa za vipindi, si unajua nimeanza kutafuta mkeAmen,
Hakika yametimia kwa TF,kila goti litapigwa na leo umejaa upako!
Napenda kujua hii hali ni kwa muda tu au ni ya kudumu?
Mkuu hivi haiwezi ikatokea kuwa katika majadiliano imefikia mahali mnashindwa kukubaliana??!!! Na ikifikia hapo nini kifanyike maana kama hakuna msemaji wa mwisho kinachofuata ni ugomvi tu kila mtu akitaka analotaka yeye ndio lifanyike. I know you have been around long enough to know that sometimes it might come to this point.
...umeyaandika yote yalokuwamo kichwani mwangu,
ubarikiwe sana!
Hebu nipe contacts tuanze michakato..........coz this is exactly what I want.Katika hili mm naamin km nitakuwa na kipato kikubwa kuliko mme wangu,
Kipato changu hakina nafasi ya kubalidi wadhifa wa mume kwenye ndoa,
Hata nina pesa kiasi gani nilishindwa kuwa peke yangu,ndio maana nikamkubali kuolewa naye na kila kilichokuwa changu inakuwa vyetu wote km tulivyoamua kuwa mwili mmoja,
Pamoja na kushirikishana ktk maamuzi na kila jambo bado yy atabaki kuwa mwenye maamuzi ya mwisho km baba wa familia.
Dah!nakutakia kila la kheri,Lol....Hii ni ya kudumu si ya muda kama homa za vipindi, si unajua nimeanza kutafuta mke
Haaaa haaa haa,Hebu nipe contacts tuanze michakato..........coz this is exactly what I want.
Mkuu hivi haiwezi ikatokea kuwa katika majadiliano imefikia mahali mnashindwa kukubaliana??!!! Na ikifikia hapo nini kifanyike maana kama hakuna msemaji wa mwisho kinachofuata ni ugomvi tu kila mtu akitaka analotaka yeye ndio lifanyike. I know you have been around long enough to know that sometimes it might come to this point.
Huu mjadala sidhani kama utakuwa na hitimisho, malezi yetu yametuathiri sana kuhusiana na swala la umilikaji mali kwa wanawake. mitizamo ya ki-dini hususan hizi dini mbili kubwa, mila na desturi zetu, jamii nayo inasema lake juu ya jambo hilo. tumejikuta hatujui tushike lipi. mirathi ni mfano mzuri, mwanamke amenyimwa haki hiyo katika familia yake alimozaliwa, na hata kule alipoolewa.........!
Huu mjadala sidhani kama utakuwa na hitimisho, malezi yetu yametuathiri sana kuhusiana na swala la umilikaji mali kwa wanawake. mitizamo ya ki-dini hususan hizi dini mbili kubwa, mila na desturi zetu, jamii nayo inasema lake juu ya jambo hilo. tumejikuta hatujui tushike lipi. mirathi ni mfano mzuri, mwanamke amenyimwa haki hiyo katika familia yake alimozaliwa, na hata kule alipoolewa.........!
Jamani mimi sikatai kuwa wanaume ni viongozi wa familia ,tatizo wengi ni wabinafsi saana na wanafanya maamuzi mabaya na yenye madhara kwa famia ,kwa mfano mimi niliolewa na mume tulieanza nae maisha kwa pamoja hatuna chochote baada ya kuchanganya mshahara wangu na wake tukafanya maendeleo mengi na tulipata watoto pia,baada ya miaka kumi mwenzangu akampenda mwanamke mwengine na kwa bahati mbaya au nzuri ndoa yetu ikavunjika na akanipa miezi miwili nitoke kwenye nyumba tuliyojenga ,kwa kweli sikukubali na ukawa ugomvi mkubwa wa kugombea mali na watoto ,je cantalisa upo hapo?
NAWASHAURI WANAWAKE MSIJIBWETEKE NA MUSIWAAMINI WANAUME 100% ,MALI ZAKO ZITAKUFAA WAKATI WA DHIKI USIMUACHE ACHEEZEE SHAURIANENI KWA WEMA NA AKITOA WAZO ZURI KUBALI LAKINI KUWA MAKINI NA HICHO MANACHOITA KICHWA CHA FAMILIA HATA KAMA NI MAAMUZI YA KUKUTESA NA WATOTO WAKO,BINAFSI NILIFIGHT FOR MY RIGHTS NA NASHUKURU MUNGU NILIFANIKIWA NA SIJATOKA NYUMBANI NI YY NDIE ALIEFUNGASHA ,NI MAONI TU UNAWEZA AMUA KUTIIIIII MBAKA UFIE HAPO BILA YA KICHWA CHA FAMILIA KUKUHURUMIA ,MBONA MENGI YANATOKEA KWENYE NDOA