cheupe dawa
Senior Member
- Apr 3, 2016
- 172
- 131
ushauri mzuri sanaaNyie watoto mkienda shule mkasome acheni mapenzi. Kwanza nashangaa umefaulu vipi wakati hata kiswahili hujui, badala ya kusema faulu unasema fauru shiittt!. Kitu kingine nikuulize kwani kufaulu ndio kupata hela? Huyo mwanamke nae ni mtoto sanaa. Wanawake wanapenda mwanaume mwenye hela tuu na sio aliyefaulu.na usijidanganye eti ukifaulu kwenye mitiani ndio umefaulu kwenye maisha. Kufaulu ni kitu kimoja na kupata hela ni kitu kingine, nenda shule ukasome kwanza mapenzi yaache kwanza.