Yesu na Maria, uwiiiiie jaman eeeh jamaniiiie,euuuuwiii jaman eeeeeKuna mtu mmoja baba yake alimuangaikia sana kumsomesha. Baada ya kufanikiwa kupata elimu yake kama clinical officer akajiona kafika na kuanza dharau kwa baba yake. Siku moja katika moja ya ugomvi wao kijana akamwambia baba yake "nitoe kabisa katika hesabu za wanao. Hata nikifa usinizike". Maneno yale yalimuumiza sana mzee. Baada ya kutafakari kwa dakika chache yule mzee akamjibu mwanae akisema "nimekusikia mwanangu. Kama kweli wewe ni mwanangu basi nina hakika ya kutokukuzika". Baada ya hapo maisha yakaendelea kama kawaida. Lakini katika ile ajali ya MV Bukoba mwezi May, 1996 yule bwana alikuwa ni mmoja wa abiria aliyekuwa katika meli hiyo. Yeye ni mmoja wale abiria waliozama na miili yao kutopatikana kabisa hivyo kutozikwa na familia yake. Wale waliokuwa wanafahamu maneno waliyojibizana na mzazi wake kuhusu kutozikana walikiri kwamba kweli wazazi ni mungu wa pili duniani na wanapaswa kuheshimiwa kwa kuzingatia hekima na haki. Mtoto alisema akifa babake asimzike na baba nae akaahidi kutomzika. Na hakika mzazi "hakumzika mwanae".
Kuna mtu mmoja baba yake alimuangaikia sana kumsomesha. Baada ya kufanikiwa kupata elimu yake kama clinical officer akajiona kafika na kuanza dharau kwa baba yake. Siku moja katika moja ya ugomvi wao kijana akamwambia baba yake "nitoe kabisa katika hesabu ya wanao. Hata nikifa usinizike". Maneno yale yalimuumiza sana mzee. Baada ya kutafakari kwa dakika chache yule mzee akamjibu mwanae akisema "nimekusikia mwanangu. Kama kweli wewe ni mwanangu basi nina hakika ya kutokukuzika". Baada ya hapo maisha yakaendelea kama kawaida. Lakini katika ile ajali ya MV Bukoba mwezi May, 1996 yule bwana alikuwa ni mmoja wa wale abiria waliozama na miili yao kutopatikana kabisa hivyo kutozikwa na familia yake. Wale waliokuwa wanafahamu maneno waliyojibizana na mzazi wake kuhusu kutozikana walikiri kwamba kweli wazazi ni Mungu wa pili duniani na wanapaswa kuheshimiwa kwa kuzingatia hekima na haki. Mtoto alisema akifa babake asimzike na baba nae akaahidi kutomzika. Na hakika mzazi "hakumzika mwanae".
Pole mkuu, lakini maisha lazima yaendelee. Hawapo kimwili ila kiroho wapo na wewe. Endelea kuwaenzi.I with they could still alive![]()
![]()
![]()
Mshana niambie juu ya effect inayowapata watoto wanazaliwa na baba wengine na kupewa baba wengine.
Inategemea na mapokeo ya baba kwa mtoto na mapatano ya kiroho bila ufahamu wao wawili..! Hesabu za kiroho zikiswihi wataenda sawa na kuwa pamoja... Ila zikigoma patachimbika kwa wote wawili ama mmoja kati yaoMshana niambie juu ya effect inayowapata watoto wanazaliwa na baba wengine na kupewa baba wengine.