Kiza, mungu, kifo, vita, njaa na maradhi.

Dotto C. Rangimoto

JF-Expert Member
Nov 22, 2012
1,985
1,282
KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA NA MARADHI.

10600582_1264008646947304_3518532082267099722_n.jpg


Mungu(light) na Kiza(Darkness) ni ndugu. Hakuna aliyeumba, wametokea tu, lakini wa kwanza kutokea KIZA kisha akafuatia NURU (Mungu).

Kiza ni mwanamke, Mungu ni mwanaume, wakati Kiza ni mkubwa kwa umri na hata nguvu kumzidi Mungu, Mungu yeye ni mwingi wa hila na ujanja, kwa hivyo ni mwerevu kumzidi KIZA.

Mungu alifanya hila, na kwa hila yake hiyo akaweza kuumba ulimwengu na malaika wakubwa wanne, ambao ni Mikaeli, Lusifa, Rafaeli na Gabrieli.

KIZA akachukia na kwahivyo pakazuka mapigano kati ya KIZA na Mungu. KIZA anaamini kuwa ulimwengu ambao angeumba yeye ungekuwa bora kuliko huu alio uumba Mungu, na ya kwamba Mungu alijua hilo na alimuonea wivu KIZA.

Inasemekana KIFO(Death) kilizuka pamoja na MUNGU, au kilianza kabla ya Mungu, au kilizuka muda mfupi sana baada ya kuumbwa malaika wanne. Ila mjue KIFO ni moja kitu kikongwe kuwapo, na haijulikani kati ya KIFO na Mungu nani mkubwa, wanaweza kuwa sawa kwa umri au KIFO akawa mkubwa au Mungu akawa mkubwa. Yote ya yote, wakongwe wa wakongwe kabla hata ya ulimwengu haujaumbwa ni KIZA, MUNGU na KIFO.

Kwakuwa Kiza kina nguvu kuliko Mungu, ili mlazimu Mungu kusaidiana na malaika wakubwa kupambana na Kiza, katika mapambano hayo Mungu na malaika wake hawakufanikiwa kumuua Kiza, walichoweza kumfunga Kiza kwa kutumia chapa(mark) ambayo baadae ilijulikana kama chapa ya Kaini(Mark of Cain)

Kitendo cha mapigano hayo kati ya MUNGU na KIZA, kina maanisha kuwa "VITA" ni kitu cha nne kikongwe kikiwa nyuma ya KIFO, MUNGU na KIZA.

Baada Mungu kufanikiwa, KIZA chini ya kifungo chake akawa juu vilindi vya maji, Mungu akaketi juu ya uso wa maji, na wakati huo asilimia kubwa ya ulimwengu ulikuwa ushafanyika kasoro sayari dunia ilikuwa bado haijakamilika. Hata hivyo, kimsingi hata sasa ulimwengu unaendelea kutanuka na kukua na kila siku nyota zinapasuka na kila siku mifumo ya nyota inazaliwa, yote yanafanyika chini ya pumzi ya Mungu(physical laws)

Chapa ikawa ndio kifungo na funguo kwa GEREZA alilofungiwa DARKNESS, na funguo ambazo alikabidhiwa mtoto mpendwa, mtiifu na mnyenyekevu wa Mungu, mtoto huyo ni Lucifer.

Chapa(funguo) ikageuka laana, hajulikani kwanini iligeuka laana, ila inasemekana MFUNGWA(KIZA) alifanya funguo kuwa LAANA kama mbinu ya kutoka kifungoni. LAANA ikamfanya Lucifer kuwa na kibli, na kibli kilionekana pale Mungu alipomuumba mwanadamu, Lucifer alichukia na alikataa kumsujudia Adamu. Naam LAANA IKAWA UASI, na baadaye Lucifer akatimuliwa mbinguni na jeshi la Mikaeli(Michael)

Wanyama wa kwanza kuumbwa walikuwa wanaitwa leviathians, hawa wanyama walikuwa na njaa sana kiasi walane wenyewe kwa wenyewe, na kwasababu hiyo basi tunagundua kuwa "NJAA" ni kitu cha tano kikongwe nyuma ya VITA, ingawa kiumri Levithians alianza kisha ndio akafuatia "NJAA"

Baada ya hapo Mungu akamilisha sayari dunia kwa kumuumba mwanadamu, mwanadamu ambaye tuliona Lucifa aligoma kumsujudia. Binadamu anashikwa na maradhi na udhohofika kwa kuugua. Kwasababu hii basi tunagundua "MARADHI" ni kitu cha sita nyuma ya "NJAA"

KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA na MARADHI hivi vyote viko na vilizuka tu na hakuna aliyeviumba. Viumbe wa kwanza kuumbwa na mungu ni malaika, na wanyama wa kwanza kuumbwa na mungu Levithans ambao pia wanatajwa katika Isaya 27:1

Kwakuwa Mungu aliumba binadamu, na kwakuwa Levithans walikuwa ni wanyama hatari sana kwa uhai wa binadamu hasa hasa kutokana na kuathiriwa zaidi na njaa, Mungu akaumba Purgatory kisha akamuagiza Malaika Mikaeli awafukuze levithians duniani na kuwafungia Purgatory. Katika Purgatory Levithians wanaendelea kuishi huku wakiendelea kulana wenyewe kwa wenyewe na huku wakizaana.

Unafikiri ile mijusi mikubwa unayo iona katika filamu imepotea tu? Akina GodZilla wajua wameenda wapi? Elewa hawakupotea bali wamefungiwa katika Purgatory! Ndio Levithians wenyewe hao, na ili waweze kufungiwa "VITA" ilitamalaki na Mikaeli akafanikiwa kuwafungia, waliokufa ndio mnaona masalia yao ya mifupa katika majumba ya makumbusho.

Baadae dunia itaenda mwisho, nakumbuka nilishawahi kuwaandikia juu ya mwisho wa dunia, kitakacho fanya dunia iishe ni kuripuka kwa nyota jua, likitokea hilo uhai katika dunia utatoweka kabisa, lakini huo sio mwisho wa ulimwengu.

Ulimwengu nao utaisha ama utafikia mwisho. Mkumbuke kuwa ulimwengu unaendelea kutanuka na sababu ya kutanuka ni kuendelea kushikilia misingi ya mlango uliotumika kumfungia KIZA. Hata hivyo, kutanuka huku kutapelekea ulimwengu kupasuka na kusambaratika, hapa wana sayansi wanasema kuwa ule mchakato wa BING BANG unaanza tena na kwa hivyo ulimwengu na galaxy zake kuumbika tena.

Kwa upande wa wanasayansi Bing Bang kutokea tena ni mchakato wa matirioni ya miaka, na mchakato huo unahusisha physical law, matters, dark matters, energy, na dark energy. Tukija upande wa kiroho huu ndio wakati ambapo "KIZA" kimetoka kifungoni na kiko vitani na MUNGU.

Kama Mungu akishinda ulimwengu utarudi tena na dunia kuwa Paradiso, na kama KIZA akishinda basi ataumba ulimwengu wake na kwa vyovyote vile wakati huo MUNGU atakuwa amefungwa au ameuliwa.

Mwisho wa dunia utakuwa na dalili nyingi lakini dalili kuu nne ni hizi zufuatazo.

1. NJAA atapata nguvu sana, na chakula kitakuwa hakitoshi ulimwenguni. Hakitoshi haimaanishi chakula cha kutosha hakuna, hapana, bali watu na wanyama watakula lakini hawatashiba.

2. MARADHI naye atapata nguvu sana, si kwamba magonjwa yatakuwa mengi, bali magonjwa yaliyo kuwa yanatibika yataanza kuwa sugu na kukataa dawa, lakini pia yatazuka magonjwa mapya yaso na dawa wala chanjo.

3. VITA naye atapata nguvu, itakuwa ni vita kati usasa na uzamani, ukristo na uislamu, weusi na weupe, magharibi na mashariki, shia na suni, katoliki nautherani, taifa na taifa, kabila kabila.

4. KIFO naye atapata nguvu, na vitu hivyo vitatu vya juu vinaonesha uwepo wa KIFO, na uwepo wake utadhihirishwa na mauji ya halaiki yatakayo sababishwa na NJAA, MARADHI na VITA.

Hata hivyo na hasa kwa mujibu wa biblia kuwa "KIFO" atauliwa na MUNGU, na hili linathibitishwa na nadharia ya biblia kuwa YESU ameshinda MAUTI na ya kwamba atakayemuamini YESU na BABA aliyemtuma HATAKUFA bali ataishi milele. Sasa ili kuwe na maisha ya milele ni lazima "KIFO" afe, yaani asiwepo!

Yohana 5:24

Je Mungu ataweza kumuua "KIFO"?? je kama Mungu anampango wa kumuua "KIFO" je "KIFO" hatofanya hila kwa kumfungulia "KIZA" toka gerezani? Kwa maana hakuna kitu ambacho Mungu anakihofia kama "KIZA" Je katika haya yote, mitume na manabii wana nafasi gani? Je vitabu kama Quran na Biblia pia vina nafasi gani? Kuna tafauti gani kati ya Hell na Purgatory?

Itaendelea

Njano5
0622845394
 
KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA NA MARADHI.

View attachment 331274

Mungu(light) na Kiza(Darkness) ni ndugu. Hakuna aliyeumba, wametokea tu, lakini wa kwanza kutokea KIZA kisha akafuatia NURU (Mungu).

Kiza ni mwanamke, Mungu ni mwanaume, wakati Kiza ni mkubwa kwa umri na hata nguvu kumzidi Mungu, Mungu yeye ni mwingi wa hila na ujanja, kwa hivyo ni mwerevu kumzidi KIZA.

Mungu alifanya hila, na kwa hila yake hiyo akaweza kuumba ulimwengu na malaika wakubwa wanne, ambao ni Mikaeli, Lusifa, Rafaeli na Gabrieli.

KIZA akachukia na kwahivyo pakazuka mapigano kati ya KIZA na Mungu. KIZA anaamini kuwa ulimwengu ambao angeumba yeye ungekuwa bora kuliko huu alio uumba Mungu, na ya kwamba Mungu alijua hilo na alimuonea wivu KIZA.

Inasemekana KIFO(Death) kilizuka pamoja na MUNGU, au kilianza kabla ya Mungu, au kilizuka muda mfupi sana baada ya kuumbwa malaika wanne. Ila mjue KIFO ni moja kitu kikongwe kuwapo, na haijulikani kati ya KIFO na Mungu nani mkubwa, wanaweza kuwa sawa kwa umri au KIFO akawa mkubwa au Mungu akawa mkubwa. Yote ya yote, wakongwe wa wakongwe kabla hata ya ulimwengu haujaumbwa ni KIZA, MUNGU na KIFO.

Kwakuwa Kiza kina nguvu kuliko Mungu, ili mlazimu Mungu kusaidiana na malaika wakubwa kupambana na Kiza, katika mapambano hayo Mungu na malaika wake hawakufanikiwa kumuua Kiza, walichoweza kumfunga Kiza kwa kutumia chapa(mark) ambayo baadae ilijulikana kama chapa ya Kaini(Mark of Cain)

Kitendo cha mapigano hayo kati ya MUNGU na KIZA, kina maanisha kuwa "VITA" ni kitu cha nne kikongwe kikiwa nyuma ya KIFO, MUNGU na KIZA.

Baada Mungu kufanikiwa, KIZA chini ya kifungo chake akawa juu vilindi vya maji, Mungu akaketi juu ya uso wa maji, na wakati huo asilimia kubwa ya ulimwengu ulikuwa ushafanyika kasoro sayari dunia ilikuwa bado haijakamilika. Hata hivyo, kimsingi hata sasa ulimwengu unaendelea kutanuka na kukua na kila siku nyota zinapasuka na kila siku mifumo ya nyota inazaliwa, yote yanafanyika chini ya pumzi ya Mungu(physical laws)

Chapa ikawa ndio kifungo na funguo kwa GEREZA alilofungiwa DARKNESS, na funguo ambazo alikabidhiwa mtoto mpendwa, mtiifu na mnyenyekevu wa Mungu, mtoto huyo ni Lucifer.

Chapa(funguo) ikageuka laana, hajulikani kwanini iligeuka laana, ila inasemekana MFUNGWA(KIZA) alifanya funguo kuwa LAANA kama mbinu ya kutoka kifungoni. LAANA ikamfanya Lucifer kuwa na kibli, na kibli kilionekana pale Mungu alipomuumba mwanadamu, Lucifer alichukia na alikataa kumsujudia Adamu. Naam LAANA IKAWA UASI, na baadaye Lucifer akatimuliwa mbinguni na jeshi la Mikaeli(Michael)

Wanyama wa kwanza kuumbwa walikuwa wanaitwa leviathians, hawa wanyama walikuwa na njaa sana kiasi walane wenyewe kwa wenyewe, na kwasababu hiyo basi tunagundua kuwa "NJAA" ni kitu cha tano kikongwe nyuma ya VITA, ingawa kiumri Levithians alianza kisha ndio akafuatia "NJAA"

Baada ya hapo Mungu akamilisha sayari dunia kwa kumuumba mwanadamu, mwanadamu ambaye tuliona Lucifa aligoma kumsujudia. Binadamu anashikwa na maradhi na udhohofika kwa kuugua. Kwasababu hii basi tunagundua "MARADHI" ni kitu cha sita nyuma ya "NJAA"

KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA na MARADHI hivi vyote viko na vilizuka tu na hakuna aliyeviumba. Viumbe wa kwanza kuumbwa na mungu ni malaika, na wanyama wa kwanza kuumbwa na mungu Levithans ambao pia wanatajwa katika Isaya 27:1

Kwakuwa Mungu aliumba binadamu, na kwakuwa Levithans walikuwa ni wanyama hatari sana kwa uhai wa binadamu hasa hasa kutokana na kuathiriwa zaidi na njaa, Mungu akaumba Purgatory kisha akamuagiza Malaika Mikaeli awafukuze levithians duniani na kuwafungia Purgatory. Katika Purgatory Levithians wanaendelea kuishi huku wakiendelea kulana wenyewe kwa wenyewe na huku wakizaana.

Unafikiri ile mijusi mikubwa unayo iona katika filamu imepotea tu? Akina GodZilla wajua wameenda wapi? Elewa hawakupotea bali wamefungiwa katika Purgatory! Ndio Levithians wenyewe hao, na ili waweze kufungiwa "VITA" ilitamalaki na Mikaeli akafanikiwa kuwafungia, waliokufa ndio mnaona masalia yao ya mifupa katika majumba ya makumbusho.

Baadae dunia itaenda mwisho, nakumbuka nilishawahi kuwaandikia juu ya mwisho wa dunia, kitakacho fanya dunia iishe ni kuripuka kwa nyota jua, likitokea hilo uhai katika dunia utatoweka kabisa, lakini huo sio mwisho wa ulimwengu.

Ulimwengu nao utaisha ama utafikia mwisho. Mkumbuke kuwa ulimwengu unaendelea kutanuka na sababu ya kutanuka ni kuendelea kushikilia misingi ya mlango uliotumika kumfungia KIZA. Hata hivyo, kutanuka huku kutapelekea ulimwengu kupasuka na kusambaratika, hapa wana sayansi wanasema kuwa ule mchakato wa BING BANG unaanza tena na kwa hivyo ulimwengu na galaxy zake kuumbika tena.

Kwa upande wa wanasayansi Bing Bang kutokea tena ni mchakato wa matirioni ya miaka, na mchakato huo unahusisha physical law, matters, dark matters, energy, na dark energy. Tukija upande wa kiroho huu ndio wakati ambapo "KIZA" kimetoka kifungoni na kiko vitani na MUNGU.

Kama Mungu akishinda ulimwengu utarudi tena na dunia kuwa Paradiso, na kama KIZA akishinda basi ataumba ulimwengu wake na kwa vyovyote vile wakati huo MUNGU atakuwa amefungwa au ameuliwa.

Mwisho wa dunia utakuwa na dalili nyingi lakini dalili kuu nne ni hizi zufuatazo.

1. NJAA atapata nguvu sana, na chakula kitakuwa hakitoshi ulimwenguni. Hakitoshi haimaanishi chakula cha kutosha hakuna, hapana, bali watu na wanyama watakula lakini hawatashiba.

2. MARADHI naye atapata nguvu sana, si kwamba magonjwa yatakuwa mengi, bali magonjwa yaliyo kuwa yanatibika yataanza kuwa sugu na kukataa dawa, lakini pia yatazuka magonjwa mapya yaso na dawa wala chanjo.

3. VITA naye atapata nguvu, itakuwa ni vita kati usasa na uzamani, ukristo na uislamu, weusi na weupe, magharibi na mashariki, shia na suni, katoliki nautherani, taifa na taifa, kabila kabila.

4. KIFO naye atapata nguvu, na vitu hivyo vitatu vya juu vinaonesha uwepo wa KIFO, na uwepo wake utadhihirishwa na mauji ya halaiki yatakayo sababishwa na NJAA, MARADHI na VITA.

Hata hivyo na hasa kwa mujibu wa biblia kuwa "KIFO" atauliwa na MUNGU, na hili linathibitishwa na nadharia ya biblia kuwa YESU ameshinda MAUTI na ya kwamba atakayemuamini YESU na BABA aliyemtuma HATAKUFA bali ataishi milele. Sasa ili kuwe na maisha ya milele ni lazima "KIFO" afe, yaani asiwepo!

Yohana 5:24

Je Mungu ataweza kumuua "KIFO"?? je kama Mungu anampango wa kumuua "KIFO" je "KIFO" hatofanya hila kwa kumfungulia "KIZA" toka gerezani? Kwa maana hakuna kitu ambacho Mungu anakihofia kama "KIZA" Je katika haya yote, mitume na manabii wana nafasi gani? Je vitabu kama Quran na Biblia pia vina nafasi gani? Kuna tafauti gani kati ya Hell na Purgatory?

Itaendelea

Njano5
0622845394
 
KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA NA MARADHI.

View attachment 331274

Mungu(light) na Kiza(Darkness) ni ndugu. Hakuna aliyeumba, wametokea tu, lakini wa kwanza kutokea KIZA kisha akafuatia NURU (Mungu).

Kiza ni mwanamke, Mungu ni mwanaume, wakati Kiza ni mkubwa kwa umri na hata nguvu kumzidi Mungu, Mungu yeye ni mwingi wa hila na ujanja, kwa hivyo ni mwerevu kumzidi KIZA.

Mungu alifanya hila, na kwa hila yake hiyo akaweza kuumba ulimwengu na malaika wakubwa wanne, ambao ni Mikaeli, Lusifa, Rafaeli na Gabrieli.

KIZA akachukia na kwahivyo pakazuka mapigano kati ya KIZA na Mungu. KIZA anaamini kuwa ulimwengu ambao angeumba yeye ungekuwa bora kuliko huu alio uumba Mungu, na ya kwamba Mungu alijua hilo na alimuonea wivu KIZA.

Inasemekana KIFO(Death) kilizuka pamoja na MUNGU, au kilianza kabla ya Mungu, au kilizuka muda mfupi sana baada ya kuumbwa malaika wanne. Ila mjue KIFO ni moja kitu kikongwe kuwapo, na haijulikani kati ya KIFO na Mungu nani mkubwa, wanaweza kuwa sawa kwa umri au KIFO akawa mkubwa au Mungu akawa mkubwa. Yote ya yote, wakongwe wa wakongwe kabla hata ya ulimwengu haujaumbwa ni KIZA, MUNGU na KIFO.

Kwakuwa Kiza kina nguvu kuliko Mungu, ili mlazimu Mungu kusaidiana na malaika wakubwa kupambana na Kiza, katika mapambano hayo Mungu na malaika wake hawakufanikiwa kumuua Kiza, walichoweza kumfunga Kiza kwa kutumia chapa(mark) ambayo baadae ilijulikana kama chapa ya Kaini(Mark of Cain)

Kitendo cha mapigano hayo kati ya MUNGU na KIZA, kina maanisha kuwa "VITA" ni kitu cha nne kikongwe kikiwa nyuma ya KIFO, MUNGU na KIZA.

Baada Mungu kufanikiwa, KIZA chini ya kifungo chake akawa juu vilindi vya maji, Mungu akaketi juu ya uso wa maji, na wakati huo asilimia kubwa ya ulimwengu ulikuwa ushafanyika kasoro sayari dunia ilikuwa bado haijakamilika. Hata hivyo, kimsingi hata sasa ulimwengu unaendelea kutanuka na kukua na kila siku nyota zinapasuka na kila siku mifumo ya nyota inazaliwa, yote yanafanyika chini ya pumzi ya Mungu(physical laws)

Chapa ikawa ndio kifungo na funguo kwa GEREZA alilofungiwa DARKNESS, na funguo ambazo alikabidhiwa mtoto mpendwa, mtiifu na mnyenyekevu wa Mungu, mtoto huyo ni Lucifer.

Chapa(funguo) ikageuka laana, hajulikani kwanini iligeuka laana, ila inasemekana MFUNGWA(KIZA) alifanya funguo kuwa LAANA kama mbinu ya kutoka kifungoni. LAANA ikamfanya Lucifer kuwa na kibli, na kibli kilionekana pale Mungu alipomuumba mwanadamu, Lucifer alichukia na alikataa kumsujudia Adamu. Naam LAANA IKAWA UASI, na baadaye Lucifer akatimuliwa mbinguni na jeshi la Mikaeli(Michael)

Wanyama wa kwanza kuumbwa walikuwa wanaitwa leviathians, hawa wanyama walikuwa na njaa sana kiasi walane wenyewe kwa wenyewe, na kwasababu hiyo basi tunagundua kuwa "NJAA" ni kitu cha tano kikongwe nyuma ya VITA, ingawa kiumri Levithians alianza kisha ndio akafuatia "NJAA"

Baada ya hapo Mungu akamilisha sayari dunia kwa kumuumba mwanadamu, mwanadamu ambaye tuliona Lucifa aligoma kumsujudia. Binadamu anashikwa na maradhi na udhohofika kwa kuugua. Kwasababu hii basi tunagundua "MARADHI" ni kitu cha sita nyuma ya "NJAA"

KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA na MARADHI hivi vyote viko na vilizuka tu na hakuna aliyeviumba. Viumbe wa kwanza kuumbwa na mungu ni malaika, na wanyama wa kwanza kuumbwa na mungu Levithans ambao pia wanatajwa katika Isaya 27:1

Kwakuwa Mungu aliumba binadamu, na kwakuwa Levithans walikuwa ni wanyama hatari sana kwa uhai wa binadamu hasa hasa kutokana na kuathiriwa zaidi na njaa, Mungu akaumba Purgatory kisha akamuagiza Malaika Mikaeli awafukuze levithians duniani na kuwafungia Purgatory. Katika Purgatory Levithians wanaendelea kuishi huku wakiendelea kulana wenyewe kwa wenyewe na huku wakizaana.

Unafikiri ile mijusi mikubwa unayo iona katika filamu imepotea tu? Akina GodZilla wajua wameenda wapi? Elewa hawakupotea bali wamefungiwa katika Purgatory! Ndio Levithians wenyewe hao, na ili waweze kufungiwa "VITA" ilitamalaki na Mikaeli akafanikiwa kuwafungia, waliokufa ndio mnaona masalia yao ya mifupa katika majumba ya makumbusho.

Baadae dunia itaenda mwisho, nakumbuka nilishawahi kuwaandikia juu ya mwisho wa dunia, kitakacho fanya dunia iishe ni kuripuka kwa nyota jua, likitokea hilo uhai katika dunia utatoweka kabisa, lakini huo sio mwisho wa ulimwengu.

Ulimwengu nao utaisha ama utafikia mwisho. Mkumbuke kuwa ulimwengu unaendelea kutanuka na sababu ya kutanuka ni kuendelea kushikilia misingi ya mlango uliotumika kumfungia KIZA. Hata hivyo, kutanuka huku kutapelekea ulimwengu kupasuka na kusambaratika, hapa wana sayansi wanasema kuwa ule mchakato wa BING BANG unaanza tena na kwa hivyo ulimwengu na galaxy zake kuumbika tena.

Kwa upande wa wanasayansi Bing Bang kutokea tena ni mchakato wa matirioni ya miaka, na mchakato huo unahusisha physical law, matters, dark matters, energy, na dark energy. Tukija upande wa kiroho huu ndio wakati ambapo "KIZA" kimetoka kifungoni na kiko vitani na MUNGU.

Kama Mungu akishinda ulimwengu utarudi tena na dunia kuwa Paradiso, na kama KIZA akishinda basi ataumba ulimwengu wake na kwa vyovyote vile wakati huo MUNGU atakuwa amefungwa au ameuliwa.

Mwisho wa dunia utakuwa na dalili nyingi lakini dalili kuu nne ni hizi zufuatazo.

1. NJAA atapata nguvu sana, na chakula kitakuwa hakitoshi ulimwenguni. Hakitoshi haimaanishi chakula cha kutosha hakuna, hapana, bali watu na wanyama watakula lakini hawatashiba.

2. MARADHI naye atapata nguvu sana, si kwamba magonjwa yatakuwa mengi, bali magonjwa yaliyo kuwa yanatibika yataanza kuwa sugu na kukataa dawa, lakini pia yatazuka magonjwa mapya yaso na dawa wala chanjo.

3. VITA naye atapata nguvu, itakuwa ni vita kati usasa na uzamani, ukristo na uislamu, weusi na weupe, magharibi na mashariki, shia na suni, katoliki nautherani, taifa na taifa, kabila kabila.

4. KIFO naye atapata nguvu, na vitu hivyo vitatu vya juu vinaonesha uwepo wa KIFO, na uwepo wake utadhihirishwa na mauji ya halaiki yatakayo sababishwa na NJAA, MARADHI na VITA.

Hata hivyo na hasa kwa mujibu wa biblia kuwa "KIFO" atauliwa na MUNGU, na hili linathibitishwa na nadharia ya biblia kuwa YESU ameshinda MAUTI na ya kwamba atakayemuamini YESU na BABA aliyemtuma HATAKUFA bali ataishi milele. Sasa ili kuwe na maisha ya milele ni lazima "KIFO" afe, yaani asiwepo!

Yohana 5:24

Je Mungu ataweza kumuua "KIFO"?? je kama Mungu anampango wa kumuua "KIFO" je "KIFO" hatofanya hila kwa kumfungulia "KIZA" toka gerezani? Kwa maana hakuna kitu ambacho Mungu anakihofia kama "KIZA" Je katika haya yote, mitume na manabii wana nafasi gani? Je vitabu kama Quran na Biblia pia vina nafasi gani? Kuna tafauti gani kati ya Hell na Purgatory?

Itaendelea

Njano5
0622845394
 
KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA NA MARADHI.

View attachment 331274

Mungu(light) na Kiza(Darkness) ni ndugu. Hakuna aliyeumba, wametokea tu, lakini wa kwanza kutokea KIZA kisha akafuatia NURU (Mungu).

Kiza ni mwanamke, Mungu ni mwanaume, wakati Kiza ni mkubwa kwa umri na hata nguvu kumzidi Mungu, Mungu yeye ni mwingi wa hila na ujanja, kwa hivyo ni mwerevu kumzidi KIZA.

Mungu alifanya hila, na kwa hila yake hiyo akaweza kuumba ulimwengu na malaika wakubwa wanne, ambao ni Mikaeli, Lusifa, Rafaeli na Gabrieli.

KIZA akachukia na kwahivyo pakazuka mapigano kati ya KIZA na Mungu. KIZA anaamini kuwa ulimwengu ambao angeumba yeye ungekuwa bora kuliko huu alio uumba Mungu, na ya kwamba Mungu alijua hilo na alimuonea wivu KIZA.

Inasemekana KIFO(Death) kilizuka pamoja na MUNGU, au kilianza kabla ya Mungu, au kilizuka muda mfupi sana baada ya kuumbwa malaika wanne. Ila mjue KIFO ni moja kitu kikongwe kuwapo, na haijulikani kati ya KIFO na Mungu nani mkubwa, wanaweza kuwa sawa kwa umri au KIFO akawa mkubwa au Mungu akawa mkubwa. Yote ya yote, wakongwe wa wakongwe kabla hata ya ulimwengu haujaumbwa ni KIZA, MUNGU na KIFO.

Kwakuwa Kiza kina nguvu kuliko Mungu, ili mlazimu Mungu kusaidiana na malaika wakubwa kupambana na Kiza, katika mapambano hayo Mungu na malaika wake hawakufanikiwa kumuua Kiza, walichoweza kumfunga Kiza kwa kutumia chapa(mark) ambayo baadae ilijulikana kama chapa ya Kaini(Mark of Cain)

Kitendo cha mapigano hayo kati ya MUNGU na KIZA, kina maanisha kuwa "VITA" ni kitu cha nne kikongwe kikiwa nyuma ya KIFO, MUNGU na KIZA.

Baada Mungu kufanikiwa, KIZA chini ya kifungo chake akawa juu vilindi vya maji, Mungu akaketi juu ya uso wa maji, na wakati huo asilimia kubwa ya ulimwengu ulikuwa ushafanyika kasoro sayari dunia ilikuwa bado haijakamilika. Hata hivyo, kimsingi hata sasa ulimwengu unaendelea kutanuka na kukua na kila siku nyota zinapasuka na kila siku mifumo ya nyota inazaliwa, yote yanafanyika chini ya pumzi ya Mungu(physical laws)

Chapa ikawa ndio kifungo na funguo kwa GEREZA alilofungiwa DARKNESS, na funguo ambazo alikabidhiwa mtoto mpendwa, mtiifu na mnyenyekevu wa Mungu, mtoto huyo ni Lucifer.

Chapa(funguo) ikageuka laana, hajulikani kwanini iligeuka laana, ila inasemekana MFUNGWA(KIZA) alifanya funguo kuwa LAANA kama mbinu ya kutoka kifungoni. LAANA ikamfanya Lucifer kuwa na kibli, na kibli kilionekana pale Mungu alipomuumba mwanadamu, Lucifer alichukia na alikataa kumsujudia Adamu. Naam LAANA IKAWA UASI, na baadaye Lucifer akatimuliwa mbinguni na jeshi la Mikaeli(Michael)

Wanyama wa kwanza kuumbwa walikuwa wanaitwa leviathians, hawa wanyama walikuwa na njaa sana kiasi walane wenyewe kwa wenyewe, na kwasababu hiyo basi tunagundua kuwa "NJAA" ni kitu cha tano kikongwe nyuma ya VITA, ingawa kiumri Levithians alianza kisha ndio akafuatia "NJAA"

Baada ya hapo Mungu akamilisha sayari dunia kwa kumuumba mwanadamu, mwanadamu ambaye tuliona Lucifa aligoma kumsujudia. Binadamu anashikwa na maradhi na udhohofika kwa kuugua. Kwasababu hii basi tunagundua "MARADHI" ni kitu cha sita nyuma ya "NJAA"

KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA na MARADHI hivi vyote viko na vilizuka tu na hakuna aliyeviumba. Viumbe wa kwanza kuumbwa na mungu ni malaika, na wanyama wa kwanza kuumbwa na mungu Levithans ambao pia wanatajwa katika Isaya 27:1

Kwakuwa Mungu aliumba binadamu, na kwakuwa Levithans walikuwa ni wanyama hatari sana kwa uhai wa binadamu hasa hasa kutokana na kuathiriwa zaidi na njaa, Mungu akaumba Purgatory kisha akamuagiza Malaika Mikaeli awafukuze levithians duniani na kuwafungia Purgatory. Katika Purgatory Levithians wanaendelea kuishi huku wakiendelea kulana wenyewe kwa wenyewe na huku wakizaana.

Unafikiri ile mijusi mikubwa unayo iona katika filamu imepotea tu? Akina GodZilla wajua wameenda wapi? Elewa hawakupotea bali wamefungiwa katika Purgatory! Ndio Levithians wenyewe hao, na ili waweze kufungiwa "VITA" ilitamalaki na Mikaeli akafanikiwa kuwafungia, waliokufa ndio mnaona masalia yao ya mifupa katika majumba ya makumbusho.

Baadae dunia itaenda mwisho, nakumbuka nilishawahi kuwaandikia juu ya mwisho wa dunia, kitakacho fanya dunia iishe ni kuripuka kwa nyota jua, likitokea hilo uhai katika dunia utatoweka kabisa, lakini huo sio mwisho wa ulimwengu.

Ulimwengu nao utaisha ama utafikia mwisho. Mkumbuke kuwa ulimwengu unaendelea kutanuka na sababu ya kutanuka ni kuendelea kushikilia misingi ya mlango uliotumika kumfungia KIZA. Hata hivyo, kutanuka huku kutapelekea ulimwengu kupasuka na kusambaratika, hapa wana sayansi wanasema kuwa ule mchakato wa BING BANG unaanza tena na kwa hivyo ulimwengu na galaxy zake kuumbika tena.

Kwa upande wa wanasayansi Bing Bang kutokea tena ni mchakato wa matirioni ya miaka, na mchakato huo unahusisha physical law, matters, dark matters, energy, na dark energy. Tukija upande wa kiroho huu ndio wakati ambapo "KIZA" kimetoka kifungoni na kiko vitani na MUNGU.

Kama Mungu akishinda ulimwengu utarudi tena na dunia kuwa Paradiso, na kama KIZA akishinda basi ataumba ulimwengu wake na kwa vyovyote vile wakati huo MUNGU atakuwa amefungwa au ameuliwa.

Mwisho wa dunia utakuwa na dalili nyingi lakini dalili kuu nne ni hizi zufuatazo.

1. NJAA atapata nguvu sana, na chakula kitakuwa hakitoshi ulimwenguni. Hakitoshi haimaanishi chakula cha kutosha hakuna, hapana, bali watu na wanyama watakula lakini hawatashiba.

2. MARADHI naye atapata nguvu sana, si kwamba magonjwa yatakuwa mengi, bali magonjwa yaliyo kuwa yanatibika yataanza kuwa sugu na kukataa dawa, lakini pia yatazuka magonjwa mapya yaso na dawa wala chanjo.

3. VITA naye atapata nguvu, itakuwa ni vita kati usasa na uzamani, ukristo na uislamu, weusi na weupe, magharibi na mashariki, shia na suni, katoliki nautherani, taifa na taifa, kabila kabila.

4. KIFO naye atapata nguvu, na vitu hivyo vitatu vya juu vinaonesha uwepo wa KIFO, na uwepo wake utadhihirishwa na mauji ya halaiki yatakayo sababishwa na NJAA, MARADHI na VITA.

Hata hivyo na hasa kwa mujibu wa biblia kuwa "KIFO" atauliwa na MUNGU, na hili linathibitishwa na nadharia ya biblia kuwa YESU ameshinda MAUTI na ya kwamba atakayemuamini YESU na BABA aliyemtuma HATAKUFA bali ataishi milele. Sasa ili kuwe na maisha ya milele ni lazima "KIFO" afe, yaani asiwepo!

Yohana 5:24

Je Mungu ataweza kumuua "KIFO"?? je kama Mungu anampango wa kumuua "KIFO" je "KIFO" hatofanya hila kwa kumfungulia "KIZA" toka gerezani? Kwa maana hakuna kitu ambacho Mungu anakihofia kama "KIZA" Je katika haya yote, mitume na manabii wana nafasi gani? Je vitabu kama Quran na Biblia pia vina nafasi gani? Kuna tafauti gani kati ya Hell na Purgatory?

Itaendelea

Njano5
0622845394
SI TU KWAMBA WEWE NI WAKALA
 
KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA NA MARADHI.

View attachment 331274

Mungu(light) na Kiza(Darkness) ni ndugu. Hakuna aliyeumba, wametokea tu, lakini wa kwanza kutokea KIZA kisha akafuatia NURU (Mungu).

Kiza ni mwanamke, Mungu ni mwanaume, wakati Kiza ni mkubwa kwa umri na hata nguvu kumzidi Mungu, Mungu yeye ni mwingi wa hila na ujanja, kwa hivyo ni mwerevu kumzidi KIZA.

Mungu alifanya hila, na kwa hila yake hiyo akaweza kuumba ulimwengu na malaika wakubwa wanne, ambao ni Mikaeli, Lusifa, Rafaeli na Gabrieli.

KIZA akachukia na kwahivyo pakazuka mapigano kati ya KIZA na Mungu. KIZA anaamini kuwa ulimwengu ambao angeumba yeye ungekuwa bora kuliko huu alio uumba Mungu, na ya kwamba Mungu alijua hilo na alimuonea wivu KIZA.

Inasemekana KIFO(Death) kilizuka pamoja na MUNGU, au kilianza kabla ya Mungu, au kilizuka muda mfupi sana baada ya kuumbwa malaika wanne. Ila mjue KIFO ni moja kitu kikongwe kuwapo, na haijulikani kati ya KIFO na Mungu nani mkubwa, wanaweza kuwa sawa kwa umri au KIFO akawa mkubwa au Mungu akawa mkubwa. Yote ya yote, wakongwe wa wakongwe kabla hata ya ulimwengu haujaumbwa ni KIZA, MUNGU na KIFO.

Kwakuwa Kiza kina nguvu kuliko Mungu, ili mlazimu Mungu kusaidiana na malaika wakubwa kupambana na Kiza, katika mapambano hayo Mungu na malaika wake hawakufanikiwa kumuua Kiza, walichoweza kumfunga Kiza kwa kutumia chapa(mark) ambayo baadae ilijulikana kama chapa ya Kaini(Mark of Cain)

Kitendo cha mapigano hayo kati ya MUNGU na KIZA, kina maanisha kuwa "VITA" ni kitu cha nne kikongwe kikiwa nyuma ya KIFO, MUNGU na KIZA.

Baada Mungu kufanikiwa, KIZA chini ya kifungo chake akawa juu vilindi vya maji, Mungu akaketi juu ya uso wa maji, na wakati huo asilimia kubwa ya ulimwengu ulikuwa ushafanyika kasoro sayari dunia ilikuwa bado haijakamilika. Hata hivyo, kimsingi hata sasa ulimwengu unaendelea kutanuka na kukua na kila siku nyota zinapasuka na kila siku mifumo ya nyota inazaliwa, yote yanafanyika chini ya pumzi ya Mungu(physical laws)

Chapa ikawa ndio kifungo na funguo kwa GEREZA alilofungiwa DARKNESS, na funguo ambazo alikabidhiwa mtoto mpendwa, mtiifu na mnyenyekevu wa Mungu, mtoto huyo ni Lucifer.

Chapa(funguo) ikageuka laana, hajulikani kwanini iligeuka laana, ila inasemekana MFUNGWA(KIZA) alifanya funguo kuwa LAANA kama mbinu ya kutoka kifungoni. LAANA ikamfanya Lucifer kuwa na kibli, na kibli kilionekana pale Mungu alipomuumba mwanadamu, Lucifer alichukia na alikataa kumsujudia Adamu. Naam LAANA IKAWA UASI, na baadaye Lucifer akatimuliwa mbinguni na jeshi la Mikaeli(Michael)

Wanyama wa kwanza kuumbwa walikuwa wanaitwa leviathians, hawa wanyama walikuwa na njaa sana kiasi walane wenyewe kwa wenyewe, na kwasababu hiyo basi tunagundua kuwa "NJAA" ni kitu cha tano kikongwe nyuma ya VITA, ingawa kiumri Levithians alianza kisha ndio akafuatia "NJAA"

Baada ya hapo Mungu akamilisha sayari dunia kwa kumuumba mwanadamu, mwanadamu ambaye tuliona Lucifa aligoma kumsujudia. Binadamu anashikwa na maradhi na udhohofika kwa kuugua. Kwasababu hii basi tunagundua "MARADHI" ni kitu cha sita nyuma ya "NJAA"

KIZA, MUNGU, KIFO, VITA, NJAA na MARADHI hivi vyote viko na vilizuka tu na hakuna aliyeviumba. Viumbe wa kwanza kuumbwa na mungu ni malaika, na wanyama wa kwanza kuumbwa na mungu Levithans ambao pia wanatajwa katika Isaya 27:1

Kwakuwa Mungu aliumba binadamu, na kwakuwa Levithans walikuwa ni wanyama hatari sana kwa uhai wa binadamu hasa hasa kutokana na kuathiriwa zaidi na njaa, Mungu akaumba Purgatory kisha akamuagiza Malaika Mikaeli awafukuze levithians duniani na kuwafungia Purgatory. Katika Purgatory Levithians wanaendelea kuishi huku wakiendelea kulana wenyewe kwa wenyewe na huku wakizaana.

Unafikiri ile mijusi mikubwa unayo iona katika filamu imepotea tu? Akina GodZilla wajua wameenda wapi? Elewa hawakupotea bali wamefungiwa katika Purgatory! Ndio Levithians wenyewe hao, na ili waweze kufungiwa "VITA" ilitamalaki na Mikaeli akafanikiwa kuwafungia, waliokufa ndio mnaona masalia yao ya mifupa katika majumba ya makumbusho.

Baadae dunia itaenda mwisho, nakumbuka nilishawahi kuwaandikia juu ya mwisho wa dunia, kitakacho fanya dunia iishe ni kuripuka kwa nyota jua, likitokea hilo uhai katika dunia utatoweka kabisa, lakini huo sio mwisho wa ulimwengu.

Ulimwengu nao utaisha ama utafikia mwisho. Mkumbuke kuwa ulimwengu unaendelea kutanuka na sababu ya kutanuka ni kuendelea kushikilia misingi ya mlango uliotumika kumfungia KIZA. Hata hivyo, kutanuka huku kutapelekea ulimwengu kupasuka na kusambaratika, hapa wana sayansi wanasema kuwa ule mchakato wa BING BANG unaanza tena na kwa hivyo ulimwengu na galaxy zake kuumbika tena.

Kwa upande wa wanasayansi Bing Bang kutokea tena ni mchakato wa matirioni ya miaka, na mchakato huo unahusisha physical law, matters, dark matters, energy, na dark energy. Tukija upande wa kiroho huu ndio wakati ambapo "KIZA" kimetoka kifungoni na kiko vitani na MUNGU.

Kama Mungu akishinda ulimwengu utarudi tena na dunia kuwa Paradiso, na kama KIZA akishinda basi ataumba ulimwengu wake na kwa vyovyote vile wakati huo MUNGU atakuwa amefungwa au ameuliwa.

Mwisho wa dunia utakuwa na dalili nyingi lakini dalili kuu nne ni hizi zufuatazo.

1. NJAA atapata nguvu sana, na chakula kitakuwa hakitoshi ulimwenguni. Hakitoshi haimaanishi chakula cha kutosha hakuna, hapana, bali watu na wanyama watakula lakini hawatashiba.

2. MARADHI naye atapata nguvu sana, si kwamba magonjwa yatakuwa mengi, bali magonjwa yaliyo kuwa yanatibika yataanza kuwa sugu na kukataa dawa, lakini pia yatazuka magonjwa mapya yaso na dawa wala chanjo.

3. VITA naye atapata nguvu, itakuwa ni vita kati usasa na uzamani, ukristo na uislamu, weusi na weupe, magharibi na mashariki, shia na suni, katoliki nautherani, taifa na taifa, kabila kabila.

4. KIFO naye atapata nguvu, na vitu hivyo vitatu vya juu vinaonesha uwepo wa KIFO, na uwepo wake utadhihirishwa na mauji ya halaiki yatakayo sababishwa na NJAA, MARADHI na VITA.

Hata hivyo na hasa kwa mujibu wa biblia kuwa "KIFO" atauliwa na MUNGU, na hili linathibitishwa na nadharia ya biblia kuwa YESU ameshinda MAUTI na ya kwamba atakayemuamini YESU na BABA aliyemtuma HATAKUFA bali ataishi milele. Sasa ili kuwe na maisha ya milele ni lazima "KIFO" afe, yaani asiwepo!

Yohana 5:24

Je Mungu ataweza kumuua "KIFO"?? je kama Mungu anampango wa kumuua "KIFO" je "KIFO" hatofanya hila kwa kumfungulia "KIZA" toka gerezani? Kwa maana hakuna kitu ambacho Mungu anakihofia kama "KIZA" Je katika haya yote, mitume na manabii wana nafasi gani? Je vitabu kama Quran na Biblia pia vina nafasi gani? Kuna tafauti gani kati ya Hell na Purgatory?

Itaendelea

Njano5
0622845394
SI TU KWAMBA WEWE NI WAKALA WA SHETANI BALI WEWE MWENYEWE HASA NI SHETANI!
 
Tatizo lako unajua wataalamu wa mawasiliano hawawezi kukushauri namna bora ya kukubalikabkatika jamii ndiyo maana unapoteza hadi wanaokukubali.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom