Kiwanja kizuri Goba 1200Mita za Mraba

Kiwanja kizuri Goba 1200Mita za Mraba

Kule watu wanaenda kwa canter, barabara mbovu kama haijawahi pita gari, huko ndio kiwanja ml 24.
Afu na matusi yako kabisa unategemea mtu anunue. Sahau mkuu
 
Duh!!!

Maeneo hayo viwanja sio gharama hivyo hebu acha kupiga watu wewe...

Kwa ukubwa huo kwa maeneo hayo kiwanja huwa ni kati ya 10mil hadi 12mil...
 
Hivi huyu dalali ana akili kweli? Baada ya kupangua hoja na ku-handle pressure za watu wanaouliza hata kama ni kwa lugha ambayo yeye hajaipenda badala yake ndo anakuwa bingwa wa lugha za hovyo!! Hata kama mtu alitaka kushawishika anaghairi!! Kweli nimeamini unaweza ukawa na ubongo lakini usiwe na akili!! We dalali nenda kwa muhindi au mchanga ukajifunze lugha ya biashara!!
PU.MBA.VU. humu vitoto ndiyo vinejaa vikishashiba ugari wa foleni vinakimbilia jf kuleta utombo wao. Hakuna serious buyer humu watoto ndiyo wamejaa.
 
Duh!!!

Maeneo hayo viwanja sio gharama hivyo hebu acha kupiga watu wewe...

Kwa ukubwa huo kwa maeneo hayo kiwanja huwa ni kati ya 10mil hadi 12mil...

Mtu mwenyewe unasubiria chakula cha kengele, hizo bei utazijulia wapi bwi.ga ww
 
Kule watu wanaenda kwa canter, barabara mbovu kama haijawahi pita gari, huko ndio kiwanja ml 24.
Afu na matusi yako kabisa unategemea mtu anunue. Sahau mkuu

Ahahahaha...hii biashara zijaanza leo
 
Napita tuu.but i undermine you dalali,kwa kosa moja tuu.kubishana na kutukanana wateja.i advice you,next time ukishapost, serious buyers wata ku pm na kukucheki kwenye your number.acha kubishana na wateja. Better preserve your comments.
Its just an advice unaweza chukua au kukataa.
 
muuzaji unapotukana wanunuzi.......
hata kama mnunuzi amekukera.....jaribu kutumia lugha ya staha......
 
Mtu mwenyewe unasubiria chakula cha kengele, hizo bei utazijulia wapi bwi.ga ww

Naona umeamua kufanya udalali wa matusi pia...

Naona hujui kuwa hao wanaokula kwa kengele wanaweza pia kuwashawishi wawalishao kwa kengele kuja kutazama biashara yako...
 
Hahaha,kazi kweli
Mwisho wa siku watu wanauza matusi sasa badala ya kiwanja.

Maana hata kama mtu asiejua anataka kununua anavuta picha ya muuzaji wa kati na maneno yake,then anasepa.
 
Nlikua natafuta plot iyo maeneo lakini bora mdo mdo uyu ni kwere
 
PU.MBA.VU. humu vitoto ndiyo vinejaa vikishashiba ugari wa foleni vinakimbilia jf kuleta utombo wao. Hakuna serious buyer humu watoto ndiyo wamejaa.

Division 5 ya mulugo katika ubora wake.... By the way, ukiambiwa rudi shule unakuwa mkali! Watu wazima huwa hatutukani matusi hovyo kama wewe unavyofanya! Any way ukikua utaacha siwezi kukulaumu sana umri wako unakuruhusu kufikiri kwa kutumia masaburi.....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom