Asavali tuendelee kubaki huku kijijini Isanga wana na jirani zetu Bintimanyanga unapata heka 2 kwa 300K...🤗Huko mjini viwanja vyenu vidogo sana aisee
Asavali tuendelee kubaki huku kijijini Isanga wana na jirani zetu Bintimanyanga unapata heka 2 kwa 300K...🤗
Na bado chenchi ya beer za kunywa miezi minne inabaki kwa hiyo 5M
Tuhame mjini mkuu, vijijini kuna viwanja 5 kwa shamba la heka 1 la 1mBro 5m unapata bonge la uwanja kama shamba Tena eneo zuri tu. Mjini wana tabu sana