Nakubaliana na wewetupia bei mkuu! Mbn kila cku huwa tunaimba hili suala la watu kuweka bei? Huku ni kama gulio na pia kupunguza usumbufu kwa pande zote.
tupia bei mkuu! Mbn kila cku huwa tunaimba hili suala la watu kuweka bei? Huku ni kama gulio na pia kupunguza usumbufu kwa pande zote.
We leta mteja tu!