Kiwanja kinauzwa Mwanza

Kiwanja kinauzwa Mwanza

KHEEE MKUU MBONA UMESHANGAA NI266 SQM NI FEKI AU ZIKOJE MKUU?
Kwanza asante kuni-quote; nina kitambo sijawa quoted na ke

Mkuu SqM226 ni sawa size ndogo ndio mana nashangaa! Niliwahi kua na sqM 826 nikaona ndogo sasa hiyo 226 daaah
 
226 = 22.6 upana na 10 urefu, na hesabu dizain hiyo so sio kikubwa cha kiasi cha kupimwa
 
Kwanza asante kuni-quote; nina kitambo sijawa quoted na ke

Mkuu SqM226 ni sawa size ndogo ndio mana nashangaa! Niliwahi kua na sqM 826 nikaona ndogo sasa hiyo 226 daaah

hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa umetusahau akina ke siye ahaya bwana

kumbe ni size ndogo ya kiwanja mm nikadhani ni kubwa kumbe ningeingia chaka aisee asante kunijuza mkuu

huko mwanza hakuna viwanja nahitaji mkuu wangu ila usinipige mkwanja maana naskia huku watu wanalizwa sana
 
hahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaa umetusahau akina ke siye ahaya bwana

kumbe ni size ndogo ya kiwanja mm nikadhani ni kubwa kumbe ningeingia chaka aisee asante kunijuza mkuu

huko mwanza hakuna viwanja nahitaji mkuu wangu ila usinipige mkwanja maana naskia huku watu wanalizwa sana
Mkuu we ni Pm tuongee kuna plot next to mine naweza kukuconnect ukawa jirani yangu hahahaha
 
Mkuu we ni Pm tuongee kuna plot next to mine naweza kukuconnect ukawa jirani yangu hahahaha
aisee itakuwa njema sana tukiwa majirani sasa hiyo plot inakwenda kwa bei yake na ina ukubwa gani maana nataka kujenga kaghorofa ujue hahahahahhaaaaaaa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom