Kiwanja kinauzwa kinyerezi
kipo eneo zuri na barabara ya gar ipo .kinaukubwa wa mita 20 kwa 24.ni
pm kwa maelezo zaidi
Taja bei kaka au ni pm maana nashda hyo!
Niko tayari kujua bei yake kama vp nijikamueKiwanja kinauzwa kinyerezi kipo eneo zuri na barabara ya gar ipo .kinaukubwa wa mita 20 kwa 24.ni pm kwa maelezo zaidi
Ni m7 na nusu ila kwa mawasiliano zaid na. 0764905372
Sio cha magumashi kimepimwa na kina uhakika.kabsa na ikibid before hujalipia ngazi zote za kisheria zitahusika
Kinyerezi ni wapi?
Segadansi kaka au Segerea.
nichekie size 30 by 40 au 35 by 35 nikupe 12 M tshs,urgentlyKiwanja kinauzwa kinyerezi kipo eneo zuri na barabara ya gar ipo .kinaukubwa wa mita 20 kwa 24.ni pm kwa maelezo zaidi