Plot4Sale Kiwanja kinauzwa Kibamba shule

yello masai

JF-Expert Member
Jan 8, 2016
3,553
3,515
Wakuu Kiwanja kinauzwa.
Kipo Kibamba Shule kituo kinaitwa Bwawani kama unaelekea Kibwegele.

Ukitembea kwa mguu ni mwendo wa dakika 3 hadi 4 kutoka barabara kubwa.
Ukubwa ni 20 × 20.

Bei ni 5.5M. Haipungui hata mia.
Kiwanja ni cha kwangu mwenyewe, mi sio dalal.

Kama unahitaji, comment hapa nikutafute.
 
Wakuu Kiwanja kinauzwa.
Kipo Kibamba Shule kituo kinaitwa Bwawani kama unaelekea Kibwegele.

Ukitembea kwa mguu ni mwendo wa dakika 3 hadi 4 kutoka barabara kubwa.
Ukubwa ni 20 × 20.

Bei ni 5.5M. Haipungui hata mia.
Kiwanja ni cha kwangu mwenyewe, mi sio dalal.

Kama unahitaji, coment hapa nikutafute.
Naomba namba tuongee
 
Ulipambana kutafuta kiwanja mkuu iweje leo ukiuze?

any way wekelea picha tukione
 
Tajiri maelezo hayatoshi
Vipi kimepimwa ,hati je?
Unasema ni mwendo wa dakika tatu kutoka barabarani ...ni barabara ipi hiyo
 
Kiwanja kingine kinauzwa Bei milioni nne, kipo pugu ni robo ekeki ,Hiki ni Cha rafiki yangu

Kingine kunduchi Bei milioni 30
Ukubwa 20 Kwa 22 MITA hiki ni Mali yangu mwenyewe hakuna dalali.
 
Japo picha
Kibaha kwa mfipa(upande wa chuo)
Toka moro road unatembea tu, kwa boda ni buku
20×20(Sqm 400)
Kila kimoja ni million 4 tu
Kupelekwa site ni 10k
0744757738View attachment 2735473View attachment 2735472View attachment 2735474View attachment 2735475
IMG_20230901_112203_582.jpg


Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom