Big Fat Lady
JF-Expert Member
- Jul 26, 2019
- 205
- 324
Hakipo maporiniSqm 216 mili 7.5 chanika maporini 🫣
SawaKila la heri, ila kama ni mimi hiyo hela naenda kununua mashamba heka 7 Morogoro au Bagamoyo baada ya miaka 20 naanza kuuza moja baada ya nyingine nabaki na heka moja na hela ya kujenga dream house.
KaribuHiyo 7 inazungumzika nije nione hilo eneo?