akili akili
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 1,704
- 1,049
mbezi makabe kipo 30mx40m huduma zote zipo. kinauzwa haraka sana kama unahitaji piga 0787 800914
Sh ngapi hiki kiwanja,
Sent from my iPhone using JamiiForums app
mbezi makabe kipo 30mx40m huduma zote zipo. kinauzwa haraka sana kama unahitaji piga 0787 800914
Wakuu bado sijapata kiwanja katika maeneo niliyokuwa nayahitaji....kama kuna mtu yoyote anakiwanja maeneo tajwa anijulishe wakuu....
Mkuu kwa komba ni kimara au kiluvya baada ya kibamba chama?
Viwanja bado vipo maeneo ya mkuranga vikindu karibu na barabara kila ekari ni tshs. 700,000/= pia kama unahitaji vingine vipo maeneo ya Naga,o..bagamoyo napo ekari moja ni shs.700.,000/= wahi maeneo yanagombaniwa sana....
Habari zenu wakuu
Nahitaji kiwanja kiwe kati ya maeneo ya tegeta,tabata,kimara au mbezi ya kimara na maeneo ya kongowe ya mbagala....
kiwanja kisiwe mbali kutoka barabara kuu,kiwe kinafikika kwa urahisi kwa gari,kiwe jirani na huduma muhimu kama umeme na maji na kiwe tambarare...
Nikipata maeneo ya boko au bunju iatkuwa bora zaidi...
Bajeti yangu ni mil 7 tu....
Kiwanja kipo mbweni 25×25, bei milioni7 tu,0752953860
mkuu hiki kiwanja ni skwata au kimepimwa?ni mbweni sehemu gani?
Kiwanja kipo mbweni 25×25, bei milioni7 tu,0752953860
Vipo kiwanja bado kipp?
Kipo kiwa kiwanja kinzudi, gobaB! M30*40
Kipo kiwa kiwanja kinzudi, gobaB! M30*40
Natafuta kiwanja cha
kujenga makazi ya kuishi.
Bajeti yangu ni Tsh. 15 milioni
Sifa za kiwanja.
1. Kiwe kimepimwa na kina hati miliki na kisiwe na mgogoro wowote.
2. Kiwe mahala ambapo watu wameshaanza kujenga na- kuna huduma za
kijamii, kama, maji na umeme.
3. Kisipungue ukubwa wa sqm 1000.
Maeneo ninayopenda zaidi.
1. Tabata, Wazo hill, Pugu, Kigamboni, Kibada, Toangoma, Kimara, mbezi,
chanika, Ukonga, Goba
Mbeni,na maeneo mengine mazuri.
Email yangu ni woowtv@live.co.uk
NB.
Ningefurahi kama ningepata cha ukubwa wa sqm 1200 au zaidi, ninaweza
kuongeza pesa kama- nitalidhika na kiwanja na mahala kilipo.
ASANTENI.