Kiwanja kinahitajika katika maeneo yafuatayo Dar

Kiwanja kinahitajika katika maeneo yafuatayo Dar

ubongokid

JF-Expert Member
Joined
Apr 30, 2017
Posts
2,351
Reaction score
4,616
Kinahitajika kiwanja cha size kawaida:



Kipimo kati ya mita 10 kwa 15 hadi 20 by 30.kiwe katika moja ya maeno yafuatayo:

Mbezi malamba mawili,Kivule, na Magole.

Bei iwe reasonable na miundo mbinu muhimu iwe karibu

Karibuni

Wenye offer wanitafute PM
 
Back
Top Bottom