Bei ni kiasi gani?nakaribisha maswali tafadhal
Nina Tshs. 200,000/= cleokippoHabar za asubuh wana jamvi, husika na kichwa cha habar apo juu, kwa yeyote atakayehitaji kiwanja chenye ukubwa huo ani PM, kiwanja kipo mkundi manispaa ya Morogoro karibu na watumishi housing, kiwanja kinauzwa kwa ukubwa huo huo wa heka moja, ni kizur sana kwa ajili ya makaz, biashara na hata ufugaji pia kwa kuwa eneo lina ukubwa wa kutosha! nakaribisha maswali tafadhal
Bei gani mkuu?Habar za asubuh wana jamvi, husika na kichwa cha habar apo juu, kwa yeyote atakayehitaji kiwanja chenye ukubwa huo ani PM, kiwanja kipo mkundi manispaa ya Morogoro karibu na watumishi housing, kiwanja kinauzwa kwa ukubwa huo huo wa heka moja, ni kizur sana kwa ajili ya makaz, biashara na hata ufugaji pia kwa kuwa eneo lina ukubwa wa kutosha! nakaribisha maswali tafadhal