Umepata....?Habari natafuta kiwanja eneo la chamazi. Kuanzia magengeni mpaka maeneo ya azam.
Bajeti yangu ni milioni 4 kushuka chini.
Kama unacho toa sifa zake kama size kikoje na kiko chamazi ya wapi ili nije kukiona na kulipia
Umepata....?
ukubwa gani mkuu ili kama na mimi naweza pata nije kwa mapunda ukoNdio mkuu nilipata chamazi kwa mapunda