Hivi yule Jerry Muro wa ITV na Pastor Anta Muro ni ndugu maana Jerry Muro huwa ana-cover habari za kanisa hilo mara ya pili sasa kisha zinachukua muda mrefu. Ningependa haswa kusia stori ya upande wapi pili. Ila kama ni kweli stori ilivyoelezwa na Muro jana, basi si haki mfanyibiashara huyo anavyofanya.
Usijadili mtu, jadili habari yenyewe, pls.
Kwa hiyo asiripoti kwa kuwa dhuluma inafanywa kwa kaka yake na yeye ni ripota?Swali nililouliza ni la msingi, kwa upeo wako nadhani hujanielewa. Kuuliza kuwa Jerry Muro wa ITV na Pastor Anta Muro kama ni ndugu, maana yake ni kuwa; Narrator (Jerry Muro) anaweza kuwa na upendeleo kwa kuwa labda kesi inahussha dhehebu lake. Au mchungaji husika ni kaka yake. It is imparative to establish whether the narrator was bias or not, by so doing we will be able to determine the credibility of the story. Upo?
Kwa hiyo asiripoti kwa kuwa dhuluma inafanywa kwa kaka yake na yeye ni ripota?
Hii si hoja. Hoja hapa ni kwamba where is the law in this country? Kweli yaani mwekezaji aje tu achukue ardhi hata kama nimeimiliki mwezi tu, bila ridhaa yangu?
Something behind is boiling now. Tuwe macho na serikali hii.
Mimi nilitegemea serikali imuombe mwekezaji akazungumze na mwenye kiwanja ili wa compromise either alipe pesa au waingie ubia kwa mtaji wa kiwanja chake. Hapa ndipo tunaweza kuijua serikali makini yenye nia njema kwa wananchi wake.
Si hivyo hakuna lolote. Umasikini juu ya umaskini. hawa mafisadi akikitamani kiwanja chako anamtafuta mtu anaitwa mwekezaji(Kama walivyofanya kwa trl,ttcl,nasaco etc etc), na wanakufanyia dhuruma.