Nguvu za kiume ni concept ambayo siyo sahii na rasmi sana, imetoholewa kutoka kwenye matumizi horse power kama kipimo cha uwezo wa mashine au mtambo. Kazi ya mwanaume ni kumridhisha mwanamke( kumkojoza) na kujiridhisha yeye pia (kukojoa). Sasa basi utayafikiaje hayo malengo ya kuridhishana? unaweza ukatumia nguvu, akili au vyote kwa pamoja. Nguvu ninayo ikusudia hapo si ile ya kubeba mizigo la khasha, hii ni ule uwezo wa kiungo cha kiume kusimama na kutumika kusugua kiungo cha kike. Ieleweke pia, ikiwa mwanamke ana nguvu chache za kike (uwezo mdogo wa kustahimili misuguo ya kiume) basi atafika kileleni mapema. Lakini ikiwa mwanamke ana nguvu nyingi za kike (uwezo mkubwa wa kustahimili misuguo ya kiume) kwa maana nyingine she need more wood for the fire, basi itachukua muda kufika kileleni. Hivyo basi, upimaji wa nguvu za kiume hauwezi kufanikiwa kwasababu vigezo ni vingi na lengo la matumizi yake (kukojoza na kukojoa ) linafikiwa baada ya matumizi ya njia nyingine shirikishi (romance) na akili. Natumaini nimekufikisha kunako ndiko.