BLACK MOVEMENT
JF-Expert Member
- Mar 11, 2020
- 2,704
- 6,499
Hii nchi Data zinapikwa vibaya mno na sijui.kama kuna Taifa Data zinapikwa kama Tanzania na mbaya Kiongozi haoni aibu kusimama na kusoma Data ambazo yeye mwenyewe anajua fika ni za kupikwa.
Waziri mkuu anadai nchi ina jitosheleza kwa Chakula kwa asilimia 115 na ina ziada nyingine zaidi ya Tani Million 2.
Maana yake tuna chakula cha kutosha plus ziada, sasa hio ziada msidhani ni iko kwenye maghala yao hapana yaani ni ile hata ulio
Je ni kweli?
Kuna maeneo walisha anza kulia njaaa kwa sasa, hawana chakula,au kiko ila bei iko juu sana,
Waziri mkuu anadai nchi ina jitosheleza kwa Chakula kwa asilimia 115 na ina ziada nyingine zaidi ya Tani Million 2.
Maana yake tuna chakula cha kutosha plus ziada, sasa hio ziada msidhani ni iko kwenye maghala yao hapana yaani ni ile hata ulio
Je ni kweli?
Kuna maeneo walisha anza kulia njaaa kwa sasa, hawana chakula,au kiko ila bei iko juu sana,