Kiwanda cha Tanga Cement hali ni tete

sodoliki

JF-Expert Member
Apr 2, 2012
2,593
2,016
A83C9AE6-71E6-4894-A39C-AC03533EF2BC.jpeg
 
Mbona mbei za cement zimelalamikiwa kupanda na sio kushuka?

Maadam limetumika neno "compound" hapo ni wazi wazi wanamanisha ushindani pekee sio factor iliyochangia mauzo kushuka bali ushindani unaotokana na bei kushuku ndio umeongeza tatizo la kuporomo kwa mauzo hivyo bado matatizo ya kiuchumi ya kushuka kwa sekta ya ujenzi bila shaka yatakuwa nayo yamechangia hali hiyo.

Tuko kwenye "laiti traki".

Tutembee kifua mbele!!
 
Sasa mbona wenye share zao watalia.

Wanasema Cement ilikuwa nyingi mtaani bei ikashuka wakashindwa kushindana na wenzao wanaoagiza clinker nje ya nchi. Dangote si kasitisha production.? Wauze wao sasa....waache kulia kulia.

Watanzania watembee kifua mbele.....wana jiwe kweli kweli. We are on the right truck.
 
Faida Tanga cement inapungua sana ukilinganisha na miaka ya nyuma na umma kwa ujumla pamoja na wanahisa wanatahadharishwa.

Kpuna kipindi hisa za Tanga cement zilifikia thamani Tsh 6,000+; hivi karibuni zilikuwa zimeshuka mpaka karibu Tsh. 1,000.

Tanga cement wanasingizia ushindani kuongezeka na bei ya cement kushuka sana. Sina hakika na hilo la bei ya cement kushuka sana.

Ila imefika wakati Masha na kundi lake kupisha wengine wanaojua biashara kuendesha Tanga cement. Tanga cement ni hasara kwa umma pia maana hata serikali ina ubia na Tanga cement na mifuko ya jamii kama NSSF imewekeza huko michango ya wafanyakazi.
 
Kuna wakati TCC walikuwa namba tatu kwa ulipaji wa Kodi sreikalini nyuma ya tbl na sigara.

Kwa hali ilivyo sasa kwa makampuni yenye misuli kama tanga cement kuanza kuhesabu negative dividend kwa wanahisa wao ni jambo la kuogofya na inavyoelekea hali itakuwa mbaya zaidi huko mbeleni na hasa kwa makampuni madogo.

Na hapo mwekezaji wa maana hawezi kudhubutu kuweka mtaji wake katika mazingira kama haya na ndoto ya viwanda itabaki majukwaani ilihali mtaani tukiona viwanda vya vyerehani 4.

Kutemper na masuala ya uchumi ni kama kutemper na afya ya MTU!
 
Duh HATARI SANA ni nini hicho kilichotokea 2016 hadi dunia ya watanzania kibiashara kupinduka na kutembelea mgongo ? ? 733% lower than previous year ? ? within only a year ?
 
Kama ni kweli basi hali ni mbaya... from TZS 68 earning per share to TZS 418 and TZS 430 loss per share. Duuh
 
Sasa mbona wenye share zao watalia. Wanasema Cement ilikua nyingi mtaani bei ikashuka wakashindwa kushindana na wenzao wanaoagiza clinker nje ya nchi. Dangote si kasitisha production.? Wauze wao sasa....waache kulia kulia.
Watanzania watembee kifua mbele.....wana jiwe kweli kweli. We are on the right truck.
Watu hawajengi kama zamani sasa wateja watatoka wapi? Sekta karibu zote zimesinyaa/zimeporomoka ndani ya utawala huu.
 
Back
Top Bottom