Kiwanda cha nyama ya Punda mjini Dodoma

Kiwanda cha nyama ya Punda mjini Dodoma

Wale mnaokula pale msalato mnafikiri ni mbuzi na ng'ombe tu
 
Hayo maimani yako na mamila yako usifikiri kila mtu anayaamini kama ulivyo. Hiyo ni fursa sasa kwa watanzania wafuge punda kwa wingi wanaohimili ukame na maradhi. Wewe hauli lakini wenzako wenye akili na maendeleo na wanaoishi muda mrefu kuliko wewe wanakula
 
Back
Top Bottom