Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,598
Habari za majukumu waungwana,
Napenda kuuliza kuhusu hiki kiwanda cha Mwatex kilichopo Mwanza jijini, kiliajiri wafanyakazi baada ya muda wafanyakazi walisimamishwa.
Cha kushangaza kuna tetesi kwamba kiwanda hicho kilifanyiwa hujuma kama viwanda vingine... hujuma yenyewe ni kuuza mitambo iliyokuwemo na kupaacha wazi.
Wenye kujua kuhusu hilo naomba mjitokeze ili tuendelee kumjuza Rais wetu aweze kufanya ufuatiliaji.
Nawasilisha kwenu watanzania wenzangu.
Napenda kuuliza kuhusu hiki kiwanda cha Mwatex kilichopo Mwanza jijini, kiliajiri wafanyakazi baada ya muda wafanyakazi walisimamishwa.
Cha kushangaza kuna tetesi kwamba kiwanda hicho kilifanyiwa hujuma kama viwanda vingine... hujuma yenyewe ni kuuza mitambo iliyokuwemo na kupaacha wazi.
Wenye kujua kuhusu hilo naomba mjitokeze ili tuendelee kumjuza Rais wetu aweze kufanya ufuatiliaji.
Nawasilisha kwenu watanzania wenzangu.