Mkumbwa Jr
JF-Expert Member
- Mar 23, 2016
- 2,370
- 3,148
Habari za jioni wanajukwaa,
Kwamuda mrefu kidogo sasa kiwanda tanjwa hapo juu kimekua na mtaro unaopitisha maji machafu.
Maji hayo yananuka,wito wangu nikwamba mamlaka husika watembelee Tanga fresh ili mchukue faini.
Kwamuda mrefu kidogo sasa kiwanda tanjwa hapo juu kimekua na mtaro unaopitisha maji machafu.
Maji hayo yananuka,wito wangu nikwamba mamlaka husika watembelee Tanga fresh ili mchukue faini.