wapendwa naitaji mtaalamu atakaeweza kuniandikia proposal ya kufungua kiwanda cha maji safi ya chupa
awe na utaalamu na uzowefu wa hii sector
kwenye proposal nadhan utatakiwa kuandika na expected budget nitafata hiyo bado sijachagua ila ni nje ya dar es salaam unaweza pia kushaurSema mtaji wako na unataka kufungulia wapi?